Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Mimi binafsi nimeshuhudia uraisi wa Marais kadhaa except nyerere ambae nimemsoma..

Mzee wa ruksa lawama zilikua nyingi Sana anaongoza nchi kwa kushauriwa na mkewe Mara ivi Mara vile..

Benjamin lawama zikawa nyingi Mara mbabe , ubinafsishaji Mara kujimilikisha kiwira lawama zikawa nyingi sanaaa

Jakaya alitukanwa Sana oohh dhaifu mara raisi wa KUCHEKA CHEKA mara anasafir safir sanaa Mara ana fisadi nchi lawama Kama zotee

Lawama Ni nyingi mno.. the late magufuli alitukanwa Sana na kupewa majina yote mabaya mfano mshamba, dicteta uchwara e.t.c hajafanya lolote mzilankende wa watu akasema ipo siku tutamkumbuka Tena kwa uzuri..na tumemkumbuka sasa

Kwa bahati mbaya mwenyezi mungu akamchukua ametupa mama Samia lawama Ni zile zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…