Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nimeona hapo labda km wamekata matangazo.Wee nani alisema channel 10 plus kuna hyo show
LabdaNimeona hapo labda km wamekata matangazo.
Nakubali kabisa. Huyu anakoipeleka nchi ni hatari sana. BTW mashine yenu ya kusaga bado inafanya kazi?Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Tofautisha political science na utaahira.Hiyo ni kazi ya political Science! Kila ulichofikiria kishafikiriwa na kufanyiwa udadavuzi yakinifu na majubu.....yalikuwa ni kuhudhuria hiyo Event!
Sema mama kaondoka kimya kimya na chap ππMama kaondoka sasa matusi yaanze...
Mimi nilipoona watu wengi na ulinzi ukaongezwa nikajua tu anaondoka.Sema mama kaondoka kimya kimya na chap ππ
Chap tuu... Sema hapa akianza nyimbo za vyama atazingua sanaMimi nilipoona watu wengi na ulinzi ukaongezwa nikajua tu anaondoka.
ZERAU KWA WATUMISHI WANYONGEAnaikimbia mei mosi,anashiriki tamasha la harmonizeπ
Unanichekesha sana, baada ya mama kuondoka nyimbo za kichawa hamna tena.Chap tuu... Sema hapa akianza nyimbo za vyama atazingua sana
Mi nilisema hapa ππ
πππ Bangi hiziMi nilisema hapa ππ
How sure are you?Not gonna help boost her chances.
Mimi binafsi nimeshuhudia uraisi wa Marais kadhaa except nyerere ambae nimemsoma..Mara nyingi hapa JF, mtu kushindwa kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili huendana na hoja dhaifu. Ukishakuwa rais hufuati utashi wako kwa kila jambo. Ndiyo maana hiyo nafasi inatakiwa ishikwe na watu wenye upeo wa kuona mambo. Upeo wa huyu mama ni mdogo kabisa ndiyo maana muda wote anajikita kwenye kufanya mambo ya madogo madogo namna hii.