Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππUnamwalika Rais alafu unaomba inama nikuweke, sijui anairamba ramba nk
ππππ Au uinjoi weweHahahaha ππ upo vzur
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City.
View: https://www.youtube.com/live/PafgRqkHmNo?si=oHJtx2WgTWFmEp9k
RAIS SAMIAAmemshukuru Msanii Harmonize kwa kumualika kwenye hafla hii aliyoiita 'Usiku wa kuutukuza muziki wa Mama'
Rais Samia ameoneshwa kufurahishwa na ukuaji wa Harmonize kwani alivyo sasa ni tofauti na alivyokuwa miaka 8 nyuma.
Amesema mapito ya kimahusiano aliyopitia Harmonize huwapata vijana wengi, na ametaja baadhi kama Ray Vanny, Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz.
Amewapongeza wanawake wote waliolea na kukuza watoto hadi kuwafikisha kwenye mafanikio, wanawake na jeshi makini na jeshi imara.
Amesema amekuwa na kawaida ya kubeba wafanyabiashara kwenye ziara zake, sasa ataanza kwenda na wasanii ili kufungua zaidi nchi na kukuza tasnia hiyo.
Amewasaa wasanii wa muziki na filamu kuwekeza kwenye maisha yao kwani hawatafanya kazi hizo milele. Uwekezaji huo utawasaidia pindi watakapokuwa hawawezi tena kufanya kazi wanazofanya sasa.
huku kubaya ata sjapenda π₯π₯ππππ Au uinjoi wewe
huku kubaya ata sjapenda π₯π₯ππππ Au uinjoi wewe
Afu kweli mana nishapata notification hapa ety nitulie na uzi wa watu..ππππhuku kubaya ata sjapenda π₯π₯
Ila sio kama hii ya kipuuzi ya uzinduzi wa album.Hakuna rais ambaye hajahudhuria hizi social gatherings
tafuta mwingine haraka ππΎππΎAfu kweli mana nishapata notification hapa ety nitulie na uzi wa watu..ππππ
Zinaanza zile konde boi for everibade, i go die for you.Unanichekesha sana, baada ya mama kuondoka nyimbo za kichawa hamna tena.
Huu nao ni ujinga kumtukana mtu ambaye anaweza kuwa mama yako kabisa na akawazaa nyinyi kama kumi! Huu ni ujinga! Kuna ubaya gani Rais kwenda kumuunga mkono msanii wake? Kwani sanaa si inatoa ajira jamani? Mbona mnapinga kila jambo?Raisi takataka kuwahi kutokea.
Fungua bana kama vipi.. πππtafuta mwingine haraka ππΎππΎ
Nasikia saiv anaimba AINAMA AINUKAπΆπΆπ΅π΅Unanichekesha sana, baada ya mama kuondoka nyimbo za kichawa hamna tena.
Ndio hapo Sasa nashangaa MTU ana stress zake from know where anajikuta ana tukana ovyo ovyo watu wa umri wa mama yakeHuu nao ni ujinga kumtukana mtu ambaye anaweza kuwa mama yako kabisa na akawazaa nyinyi kama kumi! Huu ni ujinga! Kuna ubaya gani Rais kwenda kumuunga mkono msanii wake? Kwani sanaa si inatoa ajira jamani? Mbona mnapinga kila jambo?
umetia huruma ππππ tayar ππππππππFungua bana kama vipi.. πππ
ππππ
Oi afungue Nini π πFungua bana kama vipi.. πππ
ππππ