Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Mh. Rais Dkt Samia awakumbuke pia wasomi wa jalalani toka UDSM kwenye misafara yake. Maana wana njaa kweli kweli angalau watoke nao.
 
Huu nao ni ujinga kumtukana mtu ambaye anaweza kuwa mama yako kabisa na akawazaa nyinyi kama kumi! Huu ni ujinga! Kuna ubaya gani Rais kwenda kumuunga mkono msanii wake? Kwani sanaa si inatoa ajira jamani? Mbona mnapinga kila jambo?
Ndio hapo Sasa nashangaa MTU ana stress zake from know where anajikuta ana tukana ovyo ovyo watu wa umri wa mama yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…