Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu 😂Wanaona ishu kubwa kwa watz ni kuselebuka
Ova
Huko ni kupumbaza watu. Pia ni maandalizi ya kampeni na kuhalalisha wizi wa kura kwenye uchaguzi.Taifa limekuwa la wakata mauno tu
Ova
Lazima nikuzingue ohh!! 😂😂😂😂😂😂na kweli maana ukiniita kibuyu tutagombana mwanangu
😂😂😂😂 kaka umenipromisi thawadi nimeacha ukorofi 😜Akose maneno?
Akitoka hapo mara vu bin vu keshatandikwa ban. Napenda sana hekaheka zake wallahi 😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Kuna kibuyu nimemzingua huko akanimind 😂😂😂Lazima nikuzingue ohh!! 😂😂😂
Utafika Krismasi bila ban? 😁😂😂😂😂 kaka umenipromisi thawadi nimeacha ukorofi 😜
😂😂😂 usharithi tabia ya dada ako sa itakuwaje??Kuna kibuyu nimemzingua huko akanimind 😂😂😂
Kaka nishazoea gubu, ntatoboa krismasi kweli?? Tufanye sabasaba bas 😂😂😂Utafika Krismasi bila ban? 😁
😂😂😂Amevuta bangi chafu(makushabu)
Hivyo vigezo wanavyotumia kutengemeza country income groups unavijua? Au umeamua kuchukua matakataka tu kwenye Internet na kurusha?Nakuacha ulitafakari hiliView attachment 2999942View attachment 2999943View attachment 2999944.
Kipindi Tanzania inaongozwa na huyo anayekula muhindi barabarani Tanzania ilikua MIDDLE LOW-INCOME COUNTRY.
Na ilikua amongst nations with acute poverty/umasikini wa kawaida.
Ila sasa hivi inaongozwa na mjanja imekua 31st POOREST NATION IN THE WORLD with intense poverty/UMASIKINI MKUBWA AU ULIOKITHIRI.
Una akili yenye poor reasoning tuombee mwanao asirithi hizo akili.
Navijua kuliko unavyovijua wewe.Hivyo vigezo wanavyotumia kutengemeza country income groups unavijua? Au umeamua kuchukua matakataka tu kwenye Internet na kurusha?
Hili ni kwa mujibu wa Nani? Wewe binafsi au? Hizo standard au Sheria ziko wapi na Sisi tuzipitie zinazotoa maelekezo ya matukio yanayopaswa kuhudhuriwa na muheshimiwa raisi.Kwa cheo alicho nacho inatakikanika upimaji wa uzito wa matukio.
Tukio kama hili alitakiwa ahudhurie waziri wa sanaa na michezo au mkurugenzi wa BASATA.
Embu tumieni bongo zenu kidogo.
Hata hili unaleta utata mkuu?Hili ni kwa mujibu wa Nani? Wewe binafsi au? Hizo standard au Sheria ziko wapi na Sisi tuzipitie zinazotoa maelekezo ya matukio yanayopaswa kuhudhuriwa na muheshimiwa raisi.
Wala hakuna shida raisi kuhudhuria katika tukio hilo. Ila watz tumezidi ujuaji na kukosoa kila kitu ndiyo kitu tumebarikiwaHata hili unaleta utata mkuu?
Kazi ya washauri wa rais ni ipi?
Political science kazi yake ni nini?
Nenda kajiulize.
Kwa mtazamo wako unaona hakuna shida kiminajili ya kisiasa!?Wala hakuna shida raisi kuhudhuria katika tukio hilo. Ila watz tumezidi ujuaji na kukosoa kila kitu ndiyo kitu tumebarikiwa
Siyo kila Jambo kuangalia wengine wanafanya nini, pengine kupitia raisi wetu tukaanza kuona viongozi wengine wa nchi wakihudhuria kwenye mualiko ya namna hii ili kuwaunga mkono vijana wao.Kwa mtazamo wako unaona hakuna shida kiminajili ya kisiasa!?
Kama ingelikua hivyo basi Emmanuel Macron angealikwa katika kila tamasha la wasanii/waigizaji anayoalikwa.
Nilikuuliza maswali mawili hapo juu,je umenijibu hata moja!?
😂😂😂😂Aiseee!Siyo kila Jambo kuangalia wengine wanafanya nini, pengine kupitia raisi wetu tukaanza kuona viongozi wengine wa nchi wakihudhuria kwenye mualiko ya namna hii ili kuwaunga mkono vijana wao.