Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ni katika jitihada za kupunguza gharama za maisha kwa watanzania, huenda na bei ya sukari itapungua 🤔Naona hapo tutanunua ARVs toka Uganda, na pia tumewakubalia kupunguza bei ya usafiri kwa lori moja.
Wao watatuletea sukari, kwani hiyo sukari watatuletea bure?
Kwa mtindo huu bora asiwe anasafiri, atulie tu hapa ndani.Naona ni katika jitihada za kupunguza gharama za maisha kwa watanzania, huenda na bei ya sukari itapungua [emoji848]
Utapata vidonda vya tumbo!!..wewe ni mtanzania kweli!!?..huna jema!!...utasema ulikuwepo kwenye makubalianoNaona hapo tutanunua ARVs toka Uganda, na pia tumewakubalia kupunguza bei ya usafiri kwa lori moja kwa dola 10 za kimarekani.
Wao watatuletea tani elfu 10 za sukari, kwani hiyo sukari watatuletea bure?
Sijaona sisi tulichopata toka kwa hayo mazungumzo, naona waganda wanatupiga sana.
Wenye kuwa na uwezo wa jicho l a tatu mikono kichwani wpiga makofi viJembe. Watanzania tujiandae kiSaikoloji
Kama ana mipango mizuri aachane na masuala ya kuagiza vitu Kama sukari. Wezesha viwanda vya hapa, bakhresa kafungua kiwanda bagamoyo. Serikali inapaswa kumpa support 100% ili azalishe zaidi na zaidi na sisi tuuze huko njeNaona ni katika jitihada za kupunguza gharama za maisha kwa watanzania, huenda na bei ya sukari itapungua [emoji848]
Uganda sio kwamba wanazalisha sana sukari, bado nao wananunua kutoka Brazil. Alafu nao wanatuletea huku.Kwa mtindo huu bora asiwe anasafiri, atulie tu hapa ndani.
POPULATION.Kwa hiyo Uganda wanaweza kutengeneza dawa za kufubaza virusi vya ukimwi ila sisi hatuwezi.?
Kingine tujiulize kwanini Uganda ana ziada ya sukari kuuza nje ya nchi sisi tunashindwa nini?
R.I.P Magufuli sijui Azam ameishia wapa na mpango wake wa kuzalisha sukari nchini.
Mwisho naona mhitasari wa mazungumzo faida ni kwa Uganda tu, Sijaona Tanzania itakavyofaidika.
Ni aibu kwenda kununua Uganda ikiwa uwezo wa kuzalisha tunao.Mbona kwa miaka mingi sana Tz tulikuwa tunazalisha ARVs?
Bado ninakumbuka sana lile skendo la bench fulani za ARVs feki la kile kiwanda cha Ramadhani Madavida na Mkewe (makada wa CCM) hapa Dar.
Tuliacha lini kuzalisha ARVs?
Kwanini tuliacha kuzalisha?
Kwanini tununue na tusizalishe wenyewe?
Kabla ya mkataba huu na Uganda, tulikuwa tunapata wapi ARVs?
Kwanini asiwe mtanzania au wewe unafikiri wa tz wote wajinga kiasi hatujuwi kile kinaendelea na hata tukisifia bado mchuma janga hula na wakwao.Utapata vidonda vya tumbo!!..wewe ni mtanzania kweli!!?..huna jema!!...utasema ulikuwepo kwenye makubaliano
Sijui mama ana washauri gani!
Yaani Hana jema huyo,kila Uzi wa rais/ikulu lazima apingeKwanini asiwe mtanzania au wewe unafikiri wa tz wote wajinga kiasi hatujuwi kile kinaendelea na hata tukisifia bado mchuma janga hula na wakwao.
Kumbukeni Kuna bandari ya Mombasa piaSijui mama ana washauri gani!