Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Duh mbona mikataba yote anayenufaika ni uganda!!
Kwanza kapata soko la Arv zake, pili kapata soko la sukari yake, maana yake tunampelekea hela, na tatu tumempunguzia ushuru sasa atalipa kodi ndogo zaidi. Ukisikia kupigwa ndio huku.
Kwaiyo sisi hatuna tunachomuuzia uganda?
Kwanza kapata soko la Arv zake, pili kapata soko la sukari yake, maana yake tunampelekea hela, na tatu tumempunguzia ushuru sasa atalipa kodi ndogo zaidi. Ukisikia kupigwa ndio huku.
Kwaiyo sisi hatuna tunachomuuzia uganda?