Rais Samia ashuhudia utiaji wa saini wa hati ya ushirikiano nchini Uganda

Rais Samia ashuhudia utiaji wa saini wa hati ya ushirikiano nchini Uganda

huku nilipo mama hatumtaki ingekua 2025 ni kesho sijui ungejin adi na nini?
 
Kwa hiyo Uganda wanaweza kutengeneza dawa za kufubaza virusi vya ukimwi ila sisi hatuwezi.?

Kingine tujiulize kwanini Uganda ana ziada ya sukari kuuza nje ya nchi sisi tunashindwa nini?

R.I.P Magufuli sijui Azam ameishia wapa na mpango wake wa kuzalisha sukari nchini.

Mwisho naona mhitasari wa mazungumzo faida ni kwa Uganda tu, Sijaona Tanzania itakavyofaidika.
Hujaona umeme mpaka mwanza..hujaoma sukari.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona kwa miaka mingi sana Tz tulikuwa tunazalisha ARVs?
Bado ninakumbuka sana lile skendo la bench fulani za ARVs feki la kile kiwanda cha Ramadhani Madavida na Mkewe (makada wa CCM) hapa Dar.

Tuliacha lini kuzalisha ARVs?
Kwanini tuliacha kuzalisha?
Kwanini tununue na tusizalishe wenyewe?
Kabla ya mkataba huu na Uganda, tulikuwa tunapata wapi ARVs?
dada yako anaupiga mwingi mkubwa.
 
Kwa hiyo Uganda wanaweza kutengeneza dawa za kufubaza virusi vya ukimwi ila sisi hatuwezi.?

Kingine tujiulize kwanini Uganda ana ziada ya sukari kuuza nje ya nchi sisi tunashindwa nini?

R.I.P Magufuli sijui Azam ameishia wapa na mpango wake wa kuzalisha sukari nchini.

Mwisho naona mhitasari wa mazungumzo faida ni kwa Uganda tu, Sijaona Tanzania itakavyofaidika.
Kwahiyo wakati wa Mwendazake sukari ilikuwepo nyingi!
 
Kuna haja ya kuruhusu sukari Toka Zambia na Malawi , hasa kwa mkoa wa Mbeya na mikoa mingine ya mpakani kuongeza ushindani kwa viwanda vya ndani
 
Kuna haja ya kuruhusu sukari Toka Zambia na Malawi , hasa kwa mkoa wa Mbeya na mikoa mingine ya mpakani kuongeza ushindani kwa viwanda vya ndani
 
Nafahamu kuhusu Kagera, ila huo msongo wa 400kV haiwezi kuwa ni kwa Kagera tu. Ni ujinga
Umeme wa mkoa wa kagera unatoka Uganda lkn haimaanishi kuwa wao wanajitosheleza hapana, ukiwa kampala kukatka kwa umeme ni jambo la kila siku nafuu ya Dar.
Gesi, makaa ya mawe, mvuke, jotoardhi, upepo, hivi vyote kwa pamoja vinaweza kutupa 6000MW kwa uchache, mahitaji yetu kwasasa yanakaribia 1800MW.

Kwenye hiyo 6000MW jumlisha 1600MW tuliyonayo sasa; Uganda yote, Kenya pia tunawabeba wazima wazima.

Jenga viwanda vya kuzalisha umeme, jenga njia ya kusafirishia umeme mpaka mipakani, wauzie majirani, faida ya kutosha, shirika linakuwa.

Unaenda kuchukua mikopo na misaada kwaajili ya Green city, Usawa wa kijinsia na Madarasa(yanayochangiwa na tozo, kodi na mikopo lakini bado hayaboreki wala kuongezeka)
 
Sisi kwa minajili hii tupo crippled mfano tunashida ya bei ya sukari na upungufu, pia hatuna capacity ya ARVs production au Uganda wanazo in excess kwa hip m7 kamuwin Samia, Pia Samia kawin partly market share ya Kenya kwa Uganda ametradeoff mileage prices or costs apate ongezeko la traffic ya Tanzania to Uganda, punguzo La mileage cost in return tunapata revenue unit kiasi gani, I think here M7 has cornered Samia kwa kumuwin kiakili kwenye negotiations, sidhani kama ilikuwa pre arranged hizo MoU, mhh...mhh..mhh...kula uliwe
Kwamba rais kakurupuka,kafika huko katoa dola kumi kwa malori ya Uganda,hizo arv ni kaisi gani tutanunua!?..madabida alikua anazalisha arv hapa,mzalendo akamtia ndani
 
Naona hapo tutanunua ARVs toka Uganda, na pia tumewakubalia kupunguza bei ya usafiri kwa lori moja kwa dola 10 za kimarekani.

Wao watatuletea tani elfu 10 za sukari, kwani hiyo sukari watatuletea bure?

Sijaona sisi tulichopata toka kwa hayo mazungumzo, naona waganda wanatupiga sana.

Kila tunakoenda tunaendelea kupigwa kinoma. Wakenya nao wanatupiga sana sana. Citizen jana limesema Kenya ndiyo wamenufaika zaidi na ufunguaji nchi wetu holela kuliko sisi tulivyonufaika.
 
Kuna haja ya kuruhusu sukari Toka Zambia na Malawi , hasa kwa mkoa wa Mbeya na mikoa mingine ya mpakani kuongeza ushindani kwa viwanda vya ndani
Kwa nn serikali isije na mpango wa kusaidia uzalishaji wa sukari kuongezeka nchini?
Nchi tajiri ni ile inayozalisha sana, tuzalishe tuwauzie wao ndio pato linaongezeka. Tutaendelea kuwa nchi maskini hadi lini?
 
Naona hata taarifa ya Ikulu imekaa kimchongo mchongo sana.
Kwa mfano inasema tozo za usafirisha mizigo ya Uganda itapunguzwa mpaka kuwa dola 10, lakini haisemi hapo awali tozo ilikuwa ni kiasi gani?

Kitaaluma unapotoa ripoti ya ulinganifu (comparative analysis) ni lazima utamke pande zote mbili za figure/facts zinazozungumziwa ili kuwa proper reference analysis, unapotaja upande mmoja tu, unakuwa umesema nusu ya ukweli na kuficha nusu nyingine ya ukweli.
Mkuu unasahau kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ni ripota tu? She is not analytical and never she will be. Lazima kama nchi kuna mahali tulikosea sana maana si kwa fimbo hizi.
 
Daah!! Unaumri gani ndugu, huyu Mzee ndie aliyefanya Watu watembee uchi,na kama walivaa zilikuwa ni nguo za viraka.

Alikuwa hashauriki na Siasa yake aliyotoka nayo mwa Mao.
Kama sio Mwinyi kuja kurescue mambo,hali yetu Watanganyika ingekuwa mbaya sana.
 
Unaongea utoto gani sukuma gang?
Sukuma gang nakuuliza, unaitaje utapeli wakati dhalimu wako hayuko madarakani na unapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
 
Daah!! Unaumri gani ndugu, huyu Mzee ndie aliyefanya Watu watembee uchi,na kama walivaa zilikuwa ni nguo za viraka.

Alikuwa hashauriki na Siasa yake aliyotoka nayo mwa Mao.

Hivi kwani tuko kwenye vita wa sasa. You are not being fair Kwa Nyerere kwa kulinganisa nyakati za vita na nyakati zisizo na vita. Kuna kipindi cha Nyerere serikali ilikuwa inatoa hand outs kwa raia wake kiwango ambacho hakijawahi kutolewa na awamu zingine zote zilizofuata.
 
Back
Top Bottom