Rais Samia asingembadilisha Balozi Mbelwa Kairuki

Rais Samia asingembadilisha Balozi Mbelwa Kairuki

Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
Unajua kwamba muwekezaji mkubwa hapa nchini ni uingereza?
 
Habari zenu,

Siku za hivi karibuni Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Kati ya taarifa iliyonishitua ni ya balozi Mbwelwa Kairuki kutolewa China na kupelekwa Kwa Malikia Uingereza.

Kwanini kitendo cha Kairuki kutolewa China na kupelekwa UK kilinishangaza? Jibu ni jepesi tu. Ni hivi Kairuki alikuwa anaifanya kazi yake vyema.

Kati ya mabalozi ambao wanafanya vyema kazi zao basi ni Kairuki. Alipokuwa China kila mara alikuwa anaonekana kuwa karibu na serikali ya China kwa ajiri ya kuwashawishi wawekezaji wa nchini China waje wawekeze Tanzania.

Kiufupi alikuwa anafanya kazi yake vyema sana. Sasa leo hii Rais Samia anampelekaje Kairuki UK nchi ambayo haina haina kasi kubwa sana ya kuja kuwekeza Tanzania kama ilivyo China.
Ila Mh. Kwa kweli ana mke mzuri sana aisee

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kitu pekee nachoweza amini kama sababu ya Asha Rose Migiro kuondolewa U.K. itakuwa kaomba mwenyewe umri umeenda anataka arudishwe kupumzika.

Aisee yule mama uwezi kuamini kama alishakuwa makamu wa UN na kashika nafasi kubwa Tanzania, hana tofauti na mama ya nyumba ya jirani mitaa yetu ya uswazi alieridhika na maisha na kila mtoto mtaani anamuona wake.

Ukikutana na Migiro ni very humble, ukiona mtu ana tatizo na yule mama una kila sababu ya kuamini tatizo ni huyo mtu mwingine. Unapata picha kwanini huko serikalini kadumu kwa muda mrefu aisee yule mama mstaarabu sana na accessible kwa mtu yeyote.
Mama Migiro weee, umeamua kuja JF kuja kujipigia promo?
 
Back
Top Bottom