OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuna ulazima gani wa mipasho? Rais ajitofautishe na vikundi ya kusuta na kuchamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje tukashindwa "kukopa" ili kuboresha zaidi Bandari mpaka "tukaibinafsisha" ??Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Ana jukumu la kufanya akilikamilisha atarudi Kizimkazi 2030.Chawa kazini mmmmxiew
Hiyo ndio Lugha ambayo wajinga na wazushi inawafaa.Kuna ulazima gani wa mipasho? Rais ajitofautishe na vikundi ya kusuta na kuchamba
Tunampa, wawekezaji binafsi Wana uzoefu na kazi hizo za biashara.Ilikuwaje tukashindwa "kukopa" ili kuboresha zaidi Bandari mpaka "tukaibinafsisha" ??
"Sitegemei Baada ya maboresho tuliyofanya hapa Bandari ya DSM tutakuja kumpa mwekezaji, maana imekuwa ni Kawaida yetu Baada tu ya kufanya maboresho tunakimbilia kutafuta mwekezaji" Magufuli
Unaropoka tuu unadhani Nchi inajenga Sgr tuu? Huu hapa Mkopo wa AfDB 👇👇SGR yote ilikuwa na bajeti ya $ 10 billion. Hata nusu hawajafika tayari wameshakopa billion 30. By the way, hii ya Kukopa ili kuipendezesha Dodoma na Dar... Haaingii akilini...!!
Unaropoka tuu unadhani Nchi inajenga Sgr tuu? Huu hapa Mkopo wa AfDB 👇👇SGR yote ilikuwa na bajeti ya $ 10 billion. Hata nusu hawajafika tayari wameshakopa billion 30. By the way, hii ya Kukopa ili kuipendezesha Dodoma na Dar... Haaingii akilini...!!
Huyu hata angeandaliwa hana uwezo. Siyo kila mtu anaweza kuwa rais. Huyu hata uwaziri hafai. Ubunge hafai. Ni kwa sababu tu Tanzania hata nyani anaweza kujikuta amepewa u-RC.Huyu hakujiandaa kuwa Rais ndiyo tatizo linaanzia hapo
Na Mpina anajua hilo bila shaka yoyote. Sasa hivi ameshaamua liwalo na liwe.Najua mkakati wao ni kukata tu jina lake muda utakapofika. That’s what they know how to do best!
Ella es agua. Tanzania will never forget Magufulu's death.Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea