Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

Hivi kichwa kinafaa pia kupunguziwa majukumu eti? Tufanye tufuge nywele tu pengine maana mengine yametushinda
 
Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"

Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea


SGR yote ilikuwa na bajeti ya $ 10 billion. Hata nusu hawajafika tayari wameshakopa billion 30. By the way, hii ya Kukopa ili kuipendezesha Dodoma na Dar... Haaingii akilini...!!
 
Soko la mbuyuni,huko mosho.Mjini,limejenga kwa Tsh 200 millions.πŸ˜•
 

Attachments

  • VID-20250130-WA0048.mp4
    6.8 MB

Attachments

  • images (13) (1)~2.jpeg
    images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom