johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
πππππππHivi hujui kuwa Rais halipi kodi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππHivi hujui kuwa Rais halipi kodi?
Mamlaka ya Noko wawe...Heshimu Mamlaka
Unachekesha sana,huyo anaewadanganya Mkoani kwake Simiyi Kuna mradi wa zaidi ya Bilioni 400 na ni Mkopo harafu mna dance upuuzi wake.
Aliwaambia kwamba Kuna huo mradi?
View attachment 3218832
View: https://www.instagram.com/reel/DEwqeTlIiBu/?igsh=MTZibHVqcWlucXl2cA==
Una uhakika?Namba za fedha ni kubwa billions,ila kinachofika site ni maelfu
Na anawapasha kweli,maana nchi anaijenga,anaajiri, uchumi anaukuza,msiojua hata kuuza genge mnapinga kunipa wakati mo ndiyo mdaiwa mkubwa zaidi nchiniAnachoweza ni mipasho.
Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Una uhakika?
Huyu mama anaongoza serikali ila Hana meno makali Kwa serikali anayoiongozaTusaidiane mama wabunge nao walipe hiyo kodi.
Rais gani asiyekuwa na wasaidizi?HUYU RAIS ASAIDIWE,MAMBO MENGINE ANYAMAZE TU.
InatekelezwaMorogoro, moshi, himo rombo, handeni, korogwe etc hakuna maji.... au hiyo miradi inatekelezwa wapi wewe mnufaika wa mikopo yetu?
Asubuhi nilikuuliza jambo ukakimbia,umerudi Tena?Rais gani asiyekuwa na wasaidizi?
Unaota au ni msukule?
Mtaumia sana, mitano mingine.Ajiandae kurudi Kizimkazi
Chawa kazini mmmmxiewAtarudi Kizimkazi 2030
Una nini cha kuniuliza wewe? Unafikiri sina ya kufanya zaidi ya kuingia JF?Asubuhi nilikuuliza jambo ukakimbia,umerudi Tena?
Mtaumia sana, mitano mingine.