Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

Rais Samia: Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?

Huyo Mpina wako ni mjinga mmja tuu ambae kajipa.kazi ya kupotosha Ili afanye politics Kwa maslahi binafsi ila nyie msiojielewa ndio mnashangilia.

Huyo Mpina aliwaambia kwamba na Maendeleo ya Nchi yamepaa?
Anayetakiwa kupima Value / Mapungufu ya anachopata na atakacholipia ni mlipaji au mtoaji ? Mpina na Sisi walipa Kodi wengine tunaona kinachoendelea ni mediocre, sasa wewe kama ndio unaona hapa ndio over performance huyo ni wewe na haki yako, ila usiondoe haki ya wengine kudai better performance...; Na huo muda unaotumika kwa vijembe ungekuwa better served kwenye matendo...
 
sera yake moja wapo ni kukopa muacheni jameni si yeye 😂😂😂
 
Jibu swali ,yataje hapa hayo matumizi ya hovyo sio kuhamishwa magoli
Ku invest matrillioni ya pesa kwenye eti kufundisha Nishati safi (wakati muendelezo ni kutumia kununua gesi ya nje LPG) wakati tungeweza kutumia UMEME kwa bei rahisi, yaani badala ya kutumia Pesa iliyopo sasa na ipo nje nje kunufaisha taifa tunaitumia kupiga blah blah blah na kuwanufaisha wachache (wafanyabiashara) na mataifa ya nje....

 
Anajua ila anafanya upotoshaji wa Kisiasa Kwa sababu anafahamu Watanzania wengi hawafuatilii nini Serikali inafanya ila wanasubiria kuambiwa na Wanasiasa.
Hivi hii comment ni ya huyu huyu choice variable au hii account imedukuliwa?
 
Ku invest matrillioni ya pesa kwenye eti kufundisha Nishati safi (wakati muendelezo ni kutumia kununua gesi ya nje LPG) wakati tungeweza kutumia UMEME kwa bei rahisi, yaani badala ya kutumia Pesa iliyopo sasa na ipo nje nje kunufaisha taifa tunaitumia kupiga blah blah blah na kuwanufaisha wachache (wafanyabiashara) na mataifa ya nje....

Kufundisha Nishati safi au kutoa ruzuku mbona husomeki? Matrilioni mangapi ya Mkopo yanatumika huko?
 
Eti huyu ndio watanzania wamemuamini awapeleke nchi ya ahadi! Hili taifa sijui limerogwa na nani?
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
HUYU RAIS ASAIDIWE,MAMBO MENGINE ANYAMAZE TU.
Asilimia 80 ya mafanikio katika biashara yanamtegemea mwenye biashara asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayo mzunguka kwa miaka ya hivi karibuni hii asilimia 20 Ina nguvu hata kuzidhoofisha biashara ama kusababisha zife kabisaa moja wapo ni maamuzi ya kisiasa, maamuzi ya kisiasa yana pande 2 chanya na hasi

Hii asilimia 20 Itaendelea kuwa na nguvu endapo jamii haitabuni mbinu za kukabiliana nalo, endapo ita nyamaza ama kunyamzishwa
 
Kufundisha Nishati safi au kutoa ruzuku mbona husomeki? Matrilioni mangapi ya Mkopo yanatumika huko?
Kila siku nakwambia una upeo mfupi sana tena sana...,
  1. Moja kwa kuendelea kutumia gesi ambayo tunaagiza ni matumizi mabaya ya Kodi na ni kuendelea kuwa tegemezi
  2. Sasa hivi Ulimwengu mzima Nishati safi ndio agenda kwahio kuna Pesa nyingi zinapatikana kwa kuweza kufanikisha mikakati hio
  3. Busara ingekuwa kutumia pesa hizo kutumia chetu na tulichonacho badala ya kuendelea kuwa madalali wa kitu ambacho hatuna hence mwisho wa siku kuwa tegemezi
  4. Kwa kuwekeza kwenye Umeme ambao tunao kungeweza kukafanikisha watu kupunguza matumizi (kuongeza disposable income) na tungepunguza matumizi ya kodi zetu kuagiza gesi nje.
  5. Kwa kinachoendelea ni kama tumepata bahati ya kupata Urithi wa mali, ambayo tungeweza kutumia urithi huo kujenga kisima na hivyo kuweza kupata maji ya kunywa to infinity, lakini tunatumia urithi huo kununua maji ya jirani, hivyo kuendelea kununua huko na urithi ukiisha ni kwamba tutakuwa hakuna tulichofanya.
 
Tafuta Nchi Yako ambayo haikopi ndio uhamie

Umsaidie Rais afike salama mwisho wa muhula wake. Kumdanganya ni kumuharibia. Ni hivi kukopa sio dawa, kama hatuna nidhamu ya matumizi ya kodi zinazokusanywa ndani.
Ipo siku hatutakopesheka. hili sio tusi wala dharau. Ni heshima ya kusaidiana ili tufike mbele ya safari tukiwa wamoja na salama.
Sasa hivi kila mwenye wazo kinzani anachukuliwa kama adui. Kitu ambacho ni kinume kabisa na matakwa ya katiba wala ustawi wa nchi na utawala bora
 
Back
Top Bottom