The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Unaropoka tuu unadhani Nchi inajenga Sgr tuu? Huu hapa Mkopo wa AfDB 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFdWQxVSueb/?img_index=9&igsh=MWI0NnoyNHMzZWVicw==
Yaani unafikiri ukiweka hiyo miradi ndiyo tutakuwa impressed. Ongeza na miradi ya Kizimkazi.
Nchi hajaengwi kwa mikopo. Yaani unakopa Kuja kujenga maghorofa. Jiulize kwa nini hawako pi pesa ya kuwekeza Liganga na mchuchuma au kwenye kilimo? Endelea tu kutetea watu wanapiga deal.
Dadavua hizo billion 30 zimepelewa wapi ndani ya miaka 3. Labda tutakuelewa