The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Unaropoka tuu unadhani Nchi inajenga Sgr tuu? Huu hapa Mkopo wa AfDB ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFdWQxVSueb/?img_index=9&igsh=MWI0NnoyNHMzZWVicw==
Huyu mie huwa simuelewi. Kwani lazima kukopa au kutumia raslimali na fedha zetu vizuri? Wakati wakijisifia kukopa, madelu anaendelea kuwasamehe wachukuaji kodi. Akili au matope? Unapokuwa na mtawala wa mipasho na si fikra, unategemea nini mwanangu?Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
Anaupiga mwingiHUYU RAIS ASAIDIWE,MAMBO MENGINE ANYAMAZE TU.
Au mwili kama wa deo bonge?unamwana sheria..?
Kununua magoli ya mama, kusafirisha wasanii, unifomu za walimu na kuwagawia chawa.Rais Samia amedai Wafanyabiashara wadogo na wakati wengi wao wanakimbia ulipaji kodi hali inayosababisha kuingia kwenye mikopo na "Asiyejua anasema Serikali inakopa tu, kwani tunakopa kununua sare za harusi?"
Soma, Pia: Luhaga Mpina: Taifa limebakiza 4.6% tu kufikia Ukomo elekezi wa Deni la nje. Kauli ya 'Deni letu ni himilivu' karibu inapotea
CCM ni baba au mama yao??? Kuna maisha nje ya CCM na hata nje ya siasa.Mpina kakalia kuti kavu CCM kugombea ubunge kupitia CCM yeye na Kibajaji aliyetaka kupindua mwenyekiti atoke nje na makamu kikao kibaki bila wao wasahau ubunge kupitia CCM
Labda anamaanisha rais wa manzese, tff, yanga nkunamwana sheria..?
Mkuu mbona miradi mingi ya barabara imesimama? hata sgr huko Tabora imesimama ni zaidi ya miezi 3 sasa wakandarasi hawapo saiti.Utajuaje kile Serikali inafanya wakati mda wote wewe uko busy kufuatilia ujinga wa kina Mpina na Lisu wanafanya siasa Kwa vile wanajua Watanzania wengi hawana akili za kufuatilia mambo ya msingi so mnasubiria kuambiwa na hao wanaopotosha.
Mfano huu ni mradi Mijini 28 Nchi nzima zaidi ya Trilioni 1 za Mkopo kutoka India zinafanya kazi kwenye maeneo 28 Tanzania nzima ,ukitaka nikupe updates ya Kila sehemu naweza fanya hivyo.
Songea ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFYNDejsw3b/?igsh=OHFjNWMxbXljdWow
Ndio hivyo, jiulize hayo maskuli wanayoporomosha huko zenji unadhani fedha inatoka wapi, ila mimi nawaonea huruma huko mbeleni, Zanzibar kuna umadkini mwingi sana.Unakuta zenji wanakopa kwa mgongo wa tanganyikans aisee, Ukiuliza utaambiwa ndo faida za muungano hizo.
Hii katiba ya kijinga inatuletea watu wabovu haswaHuyu hata angeandaliwa hana uwezo. Siyo kila mtu anaweza kuwa rais. Huyu hata uwaziri hafai. Ubunge hafai. Ni kwa sababu tu Tanzania hata nyani anaweza kujikuta amepewa u-RC.