Rais Samia atakuwa anapotoshwa kuhusu CHADEMA kufanya vurugu

Rais Samia atakuwa anapotoshwa kuhusu CHADEMA kufanya vurugu

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

20240917_210238.jpg

 
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi
Baada kuwashughulikia vibaraka wa Chadema imekuwa kupotoshwa 😁😁😁

Safi sana Rais shililia hapo hapo
 
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi
Kuna ufala na usakala, sasa sijui hawa waliotengeneza na walioaminishwa hiki tuwaiteje kati ya Mafala na Masakala
 
Baada kuwashughulikia vibaraka wa Chadema imekuwa kupotoshwa 😁😁😁

Safi sana Rais shililia hapo hapo
Mkuu mimi sijihusishi na siasa lakini kama hizi screenshot zilizowekwa hapa ndiyo kweli kaoneshwa mama halafu akaamini viongozi wa Chadema wanaweza kuchati hivyo basi kwenye system kuna shida kubwa mno.

Kuna upotoshaji mkubwa kwa kiongozi wa nchi ama kwa lengo la kulinda maslahi yao binafsi ama kumuangusha kwa hila.
 
Mkuu mimi sijihusishi na siasa lakini kama hizi screenshot zilizowekwa hapa ndiyo kweli kaoneshwa mama halafu akaamini viongozi wa Chadema wanaweza kuchati hivyo basi kwenye system kuna shida kubwa mno.

Kuna upotoshaji mkubwa kwa kiongozi wa nchi ama kwa lengo la kulinda maslahi yao binafsi ama kumuangusha kwa hila.
Kwani inahitaji sms? Hujamsikia Mwenyekiti wao alisema Samia must go au unajitoa ufahamu?
 
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi

Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
Kwamba kuna Mwanachadema amevujisha siri ama, kawaida tu sion mtaalamu kwenyr hii sirikali wa kudukua WhatsApp chats.
 
Kuna watu walikuwa wanakataa kwamba Rais wa Nchi haandaliwi na kikundi cha watu wachache, na Wala hategemei kupigwa hizo kura zenu

Sasa hao watu, ndiyo wapo sasa wanasukuma Kete zao

Na bahati mbaya, aliyepo hajajua Kuna watu wamekaa mahali wanasukuma Kete zao

Akija kushtuka, ameingizwa kingi
 
Kwamba kuna Mwanachadema amevujisha siri ama, kawaida tu sion mtaalamu kwenyr hii sirikali wa kudukua WhatsApp chats.
Kumbuka: Chama tawala kimepandikiza mamluki wake wengi Sana kwenye hivi vyama vya siasa na hata kwenye makundi mengine ya kijamii.
 
Kama kweli hizo sms ndiyo alizoaminishwa kuwa ndiyo mipango ya kulipia vituo basi tuna rais ambaye ni mweupe kichwani.yaani hawezi kung'amua mambo yenye tija na yasiyo ya tija.Huyu hakufaa kabisa kukabidhiwa nchi.katiba ibadilishwe ili kuwauzia Hawa wanaorithi madaraka
 
Mkuu mimi sijihusishi na siasa lakini kama hizi screenshot zilizowekwa hapa ndiyo kweli kaoneshwa mama halafu akaamini viongozi wa Chadema wanaweza kuchati hivyo basi kwenye system kuna shida kubwa mno.

Kuna upotoshaji mkubwa kwa kiongozi wa nchi ama kwa lengo la kulinda maslahi yao binafsi ama kumuangusha kwa hila.
Hizi screenshot wametengeneza tuu wao wenyewe,. Hata Drs 7 waliohitimu Juzi hapa hawezi kuamini sembuse rais na idara zake za inteligensia
 
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Nasikitika kwamba kwa ufahamu wako mkuu basi hauijui ama umesahau hulka ya mwanamke, hapa nazungumzia mwanamke wa pwani! hulka haiondolewi na madaraka ama fedha.
 
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi
Tatizo Rais Samia haijui vizuri serikali ya Tanganyika na wajanja wajanja wake ,hajui hata kwanini mtekaji wa Sativa haamishwi Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom