Rais Samia atakuwa anapotoshwa kuhusu CHADEMA kufanya vurugu

Rais Samia atakuwa anapotoshwa kuhusu CHADEMA kufanya vurugu

Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi
Kama Samia, ushahidi wenyewe aliokuwa anasema anao, ndiyo huu, basi kafeli sana. Na hao waliotengeneza hizi chats, kwa vyovyote wanamdharau sana Rais, ina maana wanamwona hamnazo, hivyo ataamini tu!! Si ajabu watakuwa wamemdanganya kuwa hao vijana na hizo silaha ziliandaliwa na marehemu Ally, ndiyo maana jana, Rais Samia ametumia muda mwingi kukejeli kifo cha Ally.

Mungu wa mbinguni, tunaomba laana juu ya watu hawa maana kisasi ni chako Mungu wa milele.
 
Kwani inahitaji sms? Hujamsikia Mwenyekiti wao alisema Samia must go au unajitoa ufahamu?
Hapo umeweka screenshot ya chats ndiyo maana nikashangaa kweli inawezekanaje viongozi wakubwa na wazoefu kama kina Mbowe eti wachati kwenye group kizembe hivyo?

Hiyo si hata mimi na create fake group najichatisha then nampelekea mtu namuaminisha kwamba ni kina fulani walikuwa wanapanga mipango.

Ndiyo maana nikasema kama kweli hizi chats ndiyo zimemfanya Rais akatoa hotuba ile kwa kusema ameoneshwa chats basi wasaidizi wamemdharau kiongozi mkuu kwa nia mojawapo niliyoitaja hapo awali.
 
Hapo umeweka screenshot ya chats ndiyo maana nikashangaa kweli inawezekanaje viongozi wakubwa na wazoefu kama kina Mbowe eti wachati kwenye group kizembe hivyo?

Hiyo si hata mimi na create fake group najichatisha then nampelekea mtu namuaminisha kwamba ni kina fulani walikuwa wanapanga mipango.

Ndiyo maana nikasema kama kweli hizi chats ndiyo zimemfanya Rais akatoa hotuba ile kwa kusema ameoneshwa chats basi wasaidizi wamemdharau kiongozi mkuu kwa nia mojawapo niliyoitaja hapo awali.
Hizo ni za kwenu , Serikali imesikia maneno yenu wazi wazi
 
Hizo ni za kwenu , Serikali imesikia maneno yenu wazi wazi
Mkuu mimi na siasa wapi na wapi tena hadi useme sijui maneno yetu?

Hivi kumbe raia wa kawaida asiyefungamana na chama chochote cha siasa haruhusiwi kutoa maoni ama mtazamo wake kwenye masuala mbalimbali ya nchi?

Mimi nimetoa mtazamo wangu kama mtu huru nisiyeendeshwa na siasa lakini umeshanipa chama tayari.
 
🤣🤣🤣sema nini bi mkubwa amepanic hajui hata anapambana na nanii...
 
Mkuu mimi na siasa wapi na wapi tena hadi useme sijui maneno yetu?

Hivi kumbe raia wa kawaida asiyefungamana na chama chochote cha siasa haruhusiwi kutoa maoni ama mtazamo wake kwenye masuala mbalimbali ya nchi?

Mimi nimetoa mtazamo wangu kama mtu huru nisiyeendeshwa na siasa lakini umeshanipa chama tayari.
Wapi haruhusiwi? Sio Kila mpiga kura ni Mwanachama wa Chama
 
😂😂😂😂😂 yani watu wapange mashambuli na wawe wajinga namna hii kweli bongo sihami mie comedy ni nyingi sana.
 
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa na wala haambiwi ukweli sijui kwanini sijui wasaidizi wake wanataka afeli au sijui nini kinamsibu huyu mama wa watu

Yaani anaamini kuna chama cha upinzani kinataka kufanya foju kweli? Yaani mheshimiwa mbowe awaorganize wenzake kufanya uharibifu kweli? Mheshimiwa mbowe huyu huyu ninae mjua Mimi ambaye olmost zaidi ya miaka 30 yupo kwenye siasa za nchi hii huyu mzee ana hekima sana na wala hana nongwa na mtu afanye uharibifu kweli? Aisee

Mheshimiwa Rais hii screenshot na wewe unaamini? Kwamba eti bonifasi Jacob anaorganize wahuni wa mtaa eti wakaripue vituo vya polisi? Bonifasi jacob huyu huyu alumni wa UDsm kiukweli nimechoka na kufadhaika sana

Na ninyi wasaidizi wa Rais mpo tayari Rais anapotea?na kupotoshwa? Kwa ajili ya maislahi yenu tu hamjui kwamba ipo siku mungu atawalipa kwa ouvu wenu? Rais samia kuwa makini unapotoshwa sana na utakuja kujua baadae sana ya kwamba unapotoshwa wakati upo nje ya madaraka kama mwenzio mkapa kama usiposhituka sasa.

NB
Moderator acheni uchawa acheni huu Uzi
Wasaidizi wake ndiyo wanamchorea njia ya kutokea , anadanganywa kitoto hivi naye anajaa mazima,inasikitisha sana. Mabeyo Mungu anakuona kwa hili.
 
Mwenyewe anajiona amezungukwa na wenye akili eti anaamini yale maneno ya Slaa kusema chadema ndiyo inateka watu na yule boya wa chalinze, hivi kweli Amiri jeshi mkuu anamini maneno ya wasaka tonge na ikiwa ni kweli kwanini hao chadema wasichukuliwe hatua na kupelekwa mahakamani maana wanahatarisha amani ya taifa na tunaona watu wanakufa. Hatari sana maana siku atadanganywa kitu kikubwa na kusababisha nchi kuingia vitani.
 
Aliposema Mbowe ni Gaidi na wenzake walishahukumiwa jela ukweli wake ulikuwa nini?
Alisamehewa kwa falsafa ya 4R Si unaona sasa hivi tena Mbowe anavyotusumbua, anataka kutuma vijana wafanye ugaidi🐼
 
Back
Top Bottom