Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Muda mfupi ujao Mabadiliko ya Baraza la mawaziri yanatarajiwa kutangazwa kutoka Ikulu Jijini Dar es salaam.

======

Rais Samia amebadilisha muundo wa Wizara Tatu, Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji iliyokuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa Wizara Moja ambayo itaitwa Uwekezaji, Viwanda na Biashara.

Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya mwisho aliyoifanyia mabadiliko ni Wizara ya Afya

Uteuzi (Mawaziri Wapya):

Nape Nnauye - Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Hamad Masauni - Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi

Pindi Chana - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

Angelina Mabula - Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo

Manaibu:
Anthony Mavunde - Kilimo
Jumanne Abdallah S. - Mambo ya Ndani
Dr. Lemomo - Madini
Ridhiwani Kikwete - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Atupele Mwakibete - Ujenzi na Uchukuzi (Upande wa Uchukuzi)

Mabadiliko ya Mawaziri:

Jenista Mhagama - Ameenda utawala Bora
Ummy Mwalimu - Ameenda Afya
Simbachawene - Katiba na Sheria
Ndalichako - Waziri wa Kazi
Bashungwa - TAMISEMI
Prof. Mkenda - Wizara ya Elimu
Dorothy Gwajima - Wanawake, Jinsia na Makundi Maalum
Mchengerwa - Utamaduni na Michezo
Dr. Kijaji - Uwekezaji

=====

Kwa Ufupi;

Ikulu
Mkuchika

Utumishi
Mhagama
Ndejembi

Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo

Makamu wa Rais
Jafo
Hamis hamis


Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga

Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi

Fedha
Mwigulu
Chande

Ulinzi
Tax

Ndani
Masauni
Sagini

Katiba
Simbachawene
Pinda

Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku

Kilimo
Bashe
Mavunde


Mifugo
Mashimba
Ulega

Ardhi
Mabula
Kikwete

Maliasili
Ndumbaro
Masanja

Nishati
Makamba
Byabato

Madini
Biteko
Kiluswa

Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya

Viwanda
Kijaji
Kigahe

Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel


Elimu
Mkenda
Kipanga

Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis

Maji
Jumaa aweso
Mahundi

Utamaduni
Mchengerwa
Gekul

Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew
Kwa hiyo Lukuvi kaenda kujiandaa na 2025, au? Mbona alikuwa akifanya kazi na alikuwa aki_deliver?
 
Urais? Yaani alietudanganya kuwa JPM yupo ofisini anapitia mafaili kumbe anapigania uhai wake ICU ndio unasema achape kazi??

Alisaidia nni wana kusini walipopigwa korosho? Amewasaidiaje wana kusini kunufaika na bomba la gesi?? Kma jimboni kwake tu aliengua wagombea ili apite bila kupingwa then hana moral authority ya kusimamiwa na Allah as u prayed!!

Embicile
Wewe jiandae kuhama nchi Kama humkubali majaliwa,huyo ndo rais wetu ajaye
 
Back
Top Bottom