Rais Samia atangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu
Ikulu
Mkuchika

Utumishi
Mhagama
Ndejembi

Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo

Makamu wa Rais
Jafo
Hamis hamis


Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga

Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi

Fedha
Mwigulu
Chande

Ulinzi
Tax

Ndani
Masauni
Sagini

Katiba
Simbachawene
Pinda

Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku

Kilimo
Bashe
Mavunde


Mifugo
Mashimba
Ulega

Ardhi
Mabula
Kikwete

Maliasili
Ndumbaro
Masanja

Nishati
Makamba
Byabato

Madini
Biteko
Kiluswa

Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya

Viwanda
Kijaji
Kigahe

Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel


Elimu
Mkenda
Kipanga

Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis

Maji
Jumaa aweso
Mahundi

Utamaduni
Mchengerwa
Gekul

Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew

MAWAZIRI WALIOCHWA
Lukuvi
Kabudi
Mkumbo
Mwambe
Hao walioachwa ndio wanajipanga na uraisi au?
 
Spika huyo mzee
Watanzania baadhi yenu huwa mnachekesha sana. Kwani wewe huwezi kuwa Spika hadi useme fulani ndo Spika?

Pambana kivyako acha kukaa kutabiria wenzako tu utabaki mganga wa kupiga ramli tu wenzako wanakula maisha.

Uzuri Spika sio lazima awe mbunge anaweza kuwa mtu yeyote isipokuwa awe ametokana na chama chochote cha siasa.
 
Back
Top Bottom