Hao walioachwa ndio wanajipanga na uraisi au?
 
Spika huyo mzee
Watanzania baadhi yenu huwa mnachekesha sana. Kwani wewe huwezi kuwa Spika hadi useme fulani ndo Spika?

Pambana kivyako acha kukaa kutabiria wenzako tu utabaki mganga wa kupiga ramli tu wenzako wanakula maisha.

Uzuri Spika sio lazima awe mbunge anaweza kuwa mtu yeyote isipokuwa awe ametokana na chama chochote cha siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…