Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Balaa aseeAidha kuwa Spika au PM!!! Mganga wa huyu Mnyalu kule ISMANI mwezi mzima hajalala!!
Mawaziri ni wasaidizi wake hawezi kuwa na wasaidizi ambao ni wapinzani wake si wakajiandae vzr wakutane 2025 shida Iko wap jmn[emoji23][emoji1787]
[emoji134][emoji134]Tatizo ni rede ama nini??
Aulizwe mteuajiTatizo ni rede ama nini??
Hakuna hoja hapo; hao wana vishikizo tu vya shati ya mtumba.Hebu wataje hao wabunge wa Dar tuone kama kuna mwenye stress za 2025
1.Azan Zungu...
Ni niniTatizo ni rede ama nini??
Huyo chaulembo atakuwa mbunge wa familia yakoHii ndiyo Taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa , hakuna mbunge wa kuchaguliwa wala wa kuteuliwa , ama hata wa viti maalum kutoka Mkoa wa DSM aliyeambulia uteuzi wa Uwaziri au Unaibu .
Bali hivi karibuni Mbunge wake wa Jimbo la Mbagala aitwaye Chaurembo aliendesha MASHINDANO YA REDE na kutoa zawadi ya Tsh mil 1 kwa washindi .
Eheeeee... hapo umenenaAulizwe mteuaji
Ndugulile sijui alifeli wapi mama alianza nae.Hebu wataje hao wabunge wa Dar tuone kama kuna mwenye stress za 2025
1.Azan Zungu
2.Ndugulile
3.Kitila Mkumbo
4.Gwajima
5.
6.
7.
8.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hii ndiyo Taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa , hakuna mbunge wa kuchaguliwa wala wa kuteuliwa , ama hata wa viti maalum kutoka Mkoa wa DSM aliyeambulia uteuzi wa Uwaziri au Unaibu .
Bali hivi karibuni Mbunge wake wa Jimbo la Mbagala aitwaye Chaurembo aliendesha MASHINDANO YA REDE na kutoa zawadi ya Tsh mil 1 kwa washindi .