Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
You're so naive! 2015 JPM hakuwa na say kwa Sisiemu, achilia mbali Samia mgombea mwenza, the VP to be. FYI: Yeye mwenyewe alikubalika kwa vile tu alikuwa mchapakazi, asiye na makandokando, makundi, wala harufu ya rushwa na ufisadi.
Ndiye mtu pekee aliyekubalika kwamba angeweza kuifufua na kuikomboa Sisiemu isijifie mazima. Mbona huu ni ukweli wa darasa la kwanza ^car-bee-sir^?
Ndiye mtu pekee aliyekubalika kwamba angeweza kuifufua na kuikomboa Sisiemu isijifie mazima. Mbona huu ni ukweli wa darasa la kwanza ^car-bee-sir^?