Yani hata jiwe angekuwa ndo Rais wa hii nchi, bendera ingepepea nusu mlingoti tu, malkia ni mkuu wa nchi za JUMUIYA ya MADOLA, Tanzania ni moja wapo. Na malkia aliipatia uhuru TanganyikaHuyu atakuja kufanya hii nchi mwanamke asije tena kuongoza maisha yote.
Na pia alikuwa mkuu wa nchi za JUMUIYA ya madolaAlikuwa mkuu wa Tanganyika kwa mwaka mmoja na alisaini hati za uhuru.
Kwa mustakabali wa diplomasia ni jambo jema kufanya hili.
Haya tuungane.
Hahaha mkuu, hivi siku hizi hizo scholarship hakunaga???Na
Scholarship za Edinburgh University tulizoogelea kama njugu na sasa tunamalizia MABAKI YAKE
Julius hoyeeeee......
Elimu SAPLAI KIBAHA
Kazi kama kawa sema ni bendera tu ndiyo zitakua nusu mlingoti!!
Hakuna ata siku moja ya mapumziko, kweli? mama usitufanyie hivyo wanao
Asitusumbue na yeyeRais Samia atangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II kilichotokea tarehe 8 Septemba, 2022.
Maombolezo hayo yataanza tarehe 10 Septemba hadi tarehe 14 Septemba.
Katika kipindi hicho bendera za Tanzania zitapepea nusu mlingoti, ikiwa ni pamoja na kwenye balozi zetu.
Taarifa kamili[emoji116]View attachment 2351886
Watu kulalamika Kwa vitu visivyo na maana Sasa hayo maombolezo yanakuathili Nini?Kazini unakwenda,tozo zipo,kama mbususu unachakata,bill unalipa nk
Kwanza uwe na adabu kwa mh Rais wetu , pili Bila Shaka hujuwi na hufahamu histolia yetu na uingereza Hadi tunapata Uhuru wetu pasipo kumwaga damu,Huyu atakuja kufanya hii nchi mwanamke asije tena kuongoza maisha yote.
Jisemee weweAsitusumbue na yeye
Nimekutag na ww kiherehere Cha nnJisemee wewe
Hawawezi kuyaelewa hayo ndugu yangu maana uwezo wao ni mdogo hawajuwi hata historia ya nchi hii Ndio maana vinywa vyao vimejaa matusi tu, hawana adabu Wala heshimaVijana wa siku hizi bwana. Unalalamika sababu ya kutokujua kwako mambo ya kijiopolitiki. Unasahau huyu amewahi kuwa mkuu wa nchi hii enzi hizo ikiitwa Tanganyika, na pia amekuwa kiongozi wa jumuiya ya madola ambayo Tanzania ni mwanachama. Jifunzeni kutohemuka mnapokutana na jambo. Jipeni muda wa kutafakari kabla ya kubwabwaja. Isitoshe kutangazwa kwa siku hizo za maombolezo kumeathiri vipi maisha yako?
Lazima uelimishwe maana nyie hata hamjuwi historia ya nchi hii Zaid ya matusi tu, hamjuwi nchi hii ilikotoka na mchango wa malkiaNimekutag na ww kiherehere Cha nn
Sisi hatumuongelei malkia.....umeona kweny comment yangu nmetaja neno malkia....au hujui kusoma na ww....ww unaejua historia imekupa kulaLazima uelimishwe maana nyie hata hamjuwi historia ya nchi hii Zaid ya matusi tu, hamjuwi nchi hii ilikotoka na mchango wa malkia