Rais Samia atangazie upya suala la Kikokotoo cha Mafao

Rais Samia atangazie upya suala la Kikokotoo cha Mafao

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,939
Reaction score
10,403
Wakuu:
✓Ifike mahali tukubaliane kuwa hakuna anayeijua kesho yake.
✓Ifike mahali tukubaliane kuwa kila mtu anazalisha ili ajikwamue kimaisha akiwa bado hai!
✓Ifike mahali tukubaliane vile vile kuwa kuna haja ya kupitia upya suala zima la matumizi ya Kikokotoo kwenye mafao ya wafanyakazi wa nchi hii!
Nashauri lifanyike moja au yote mawili:
1. Mfanyakazi aruhusiwe kuchukua fedha zake kadri itakavyompendeza.
2. Mfanyakazi akopesheke kwenye taasisi za fedha kwa dhamana ya Michango yake kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.

Wafanyakazi kumbukeni kuwa ajenda hii ni muhimu kwa sasa kuliko mapambio ya kusifu na kuabudu!
Screenshot_20211019-104605~2.png
 
Wakuu:
✓Ifike mahali tukubaliane kuwa hakuna anayeijua kesho yake.
✓Ifike mahali tukubaliane kuwa kila mtu anazalisha ili ajikwamue kimaisha akiwa bado hai!
✓Ifike mahali tukubaliane vile vile kuwa kuna haja ya kupitia upya suala zima la matumizi ya Kikokotoo kwenye mafao ya wafanyakazi wa nchi hii!
Nashauri lifanyike moja au yote mawili:
1. Mfanyakazi aruhusiwe kuchukua fedha zake kadri itakavyompendeza.
2. Mfanyakazi akopesheke kwenye taasisi za fedha kwa dhamana ya Michango yake kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.

Wafanyakazi kumbukeni kuwa ajenda hii ni muhimu kwa sasa kuliko mapambio ya kusifu na kuabudu!View attachment 1979524
Si dhani kama huyu maza ana muda wa kutetea wanyonge! Anachoangalia ni kuturundikia mitozo ya kila aina!
 
Hii ni sheria kandamizi kabisa, walioitunga haiwaathiri kwa kuwa wao wanapata mafao yao bila kuchangia, wanaochangia wanakandamizwa, Ni jambo la ajabu sana kuona kuwa mtu amechangia michango yake kwa jasho halafu wachache wanataka afe bila lutumia!!
Hivi haionekani kama ni wizi!!! na udhulumaji wa wazi?
 
Jenister Mhagama aisome hii na Kisha aombe kupeleka mswada wa Sheria wa kuifuta hii ya mafao na Sheria ya mafao ibaki Kama ya zamani na maboresho ya mnufaika kuruhusiwa kukopa kwenye taasisi za kifedha Kwa kuziweka dhamana michango yake.
Jenister Mhagama soma hapa!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom