Rais Samia atangazie upya suala la Kikokotoo cha Mafao

Tuliamshe tu hakuna namna
 
Wanadai hizo fedha ndizo zinazotekelezea miradi ya ki mkakati. Wasipoifuta sheria hii karma ya Mungu iwe juu ya vichwa vyao na familia zao hadi vizazi vya tatu hadi vya nne.
Kabisa na iwe hivyo maana hii Hata Mungu inamchukiza
 
Nina uhakika wa asilimia 100 huyu mama ataondoa huo ujinga wa kikatili uliowekwa na hao makatili wa kiroho,......akumbushwe tu kwani mambo ni mengi hawezi kukumbuka
Mimi nilikuwa nina uhakika tangu siku anaapishwa
 
KIKOKOTOO HICHO KIPYA KIPO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI KUJIKOPESHA KIRAHISI MICHANGO YA MFANYAKAZI HIVYO SIO RAHISI KUKIBADILISHA PIA KUMBUKA MAGUFULI ALIKWISHA SAINI
 
Mimi nilikuwa nina uhakika tangu siku anaapishwa
Hili swala Bulaya na Mdee waliliongelea sana Bungeni lakini mwanasiasa Muhagama alijibu kisiasa zaidi .

Sasa limeibukia tena huku kwa ujumla hali za watu wanaodai zilivyo mbaya walipwe fedha zao mapema wakati wakiwa nguvu za kuwekeza na kuzalisha ili serikali ikusanye kodi zaidi kuliko kukaa madeni ya watu maskini.
Hii inapelekea serikali kuchukiwa bila sababu wanaosababisha chuki ni Nssf wanaoshindwa namna ya kuwahudumia Wateja wao.
 
Au SAMIA akuteue tu kuwa Mkurugenzi wa NSSF ukanyooshe hili suala.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜… Anikabidhi shirika kiukweli tuonyeshe kuwa kuna vijana wakiaminiwa nchi inasonga hili mimi nalimudu vizuri sana
Uondoe na mikopo ya bila riba wanayokopeshana wafanyakazi wa mifuko ya jamii na matokeo ni kuwavimbia na kuwaona ndezi wachangiaji.
 
Uondoe na mikopo ya bila riba wanayokopeshana wafanyakazi wa mifuko ya jamii na matokeo ni kuwavimbia na kuwaona ndezi wachangiaji.
Yan shirika linakuwa likijiendesha kibiashara wafanyakazi na wanachama unaweza wapa riba kidogo tofauti na mashirika au Viwanda hvyo ndo itafaa iwe
 
 
KIKOKOTOO HICHO KIPYA KIPO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI KUJIKOPESHA KIRAHISI MICHANGO YA MFANYAKAZI HIVYO SIO RAHISI KUKIBADILISHA PIA KUMBUKA MAGUFULI ALIKWISHA SAINI
Wafanyakazi wana nguvu sana!
KIKOKOTOO HICHO KIPYA KIPO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI KUJIKOPESHA KIRAHISI MICHANGO YA MFANYAKAZI HIVYO SIO RAHISI KUKIBADILISHA PIA KUMBUKA MAGUFULI ALIKWISHA SAINI
Kwa hoja zako hizo hizo inabidi hili jambo lipambaniwe na kila mfanyakazi.
Haiwezekani watu wakubali kuishi kwa misingi haramu ya hayati!
Wafanyakazi msikubali kuwa wanyonge! Unyonge ni sifa ya wana ccm!

KIKOKOTOO HICHO KIPYA KIPO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI KUJIKOPESHA KIRAHISI MICHANGO YA MFANYAKAZI HIVYO SIO RAHISI KUKIBADILISHA PIA KUMBUKA MAGUFULI ALIKWISHA SAINI
Kusainiwa si hoja!
 
KIKOKOTOO HICHO KIPYA KIPO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI KUJIKOPESHA KIRAHISI MICHANGO YA MFANYAKAZI HIVYO SIO RAHISI KUKIBADILISHA PIA KUMBUKA MAGUFULI ALIKWISHA SAINI
Tozo za Mafuta huwa zinapitishwa na bunge wakati wa bunge la bajeti, kufutwa kwake ni kwa bunge pia wakati wa kupitisha bajeti nyingine, lakini majuzi hapa tumeambiwa Rais amefuta Tozo 8 za mafuta.

Kama ameweza kufuta kiholela (kwa faidaya wengi) kitu asichokuwa na mamlaka nacho, hawezi shindwa kufuta hii kikokotoo (kwa faida ya wengi). Na pia kwa vile kipo kwenye kanuni na sio sheria mama, mtu sahihi wa kukifuta ni JENISTA, kwa kutoa kanuni mpya yenye kikokotoo cha zamani.
 
Ifutwe hii dhambi kubwa
 
Mkuu mbona hata mimi nakula sana fenesi barabarani...ila huwa napaka mafuta ya kula mikononi kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…