Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Kikwete yupi alifuta fao la kujitoa? Mwaka 2016 nilipata fedha yangu baada ya kuacha Kazi kutoka ppf sasa hilo lilikuwa fao la kufanya nini? Ni JK alikuwa Rais?Kikwete aliyefuta fao la kujitoa
Wananchi ni akina nani? Mbona wewe unajitoa unataka nani akiwashe ufaidi? Upuuzi.Hii nchi itakuja kwenda sawa pale tu wananchi wakija kiwasha hakukuja kua na ujinga izi tena
Mama mtu mkweli asiyeyumhishwa atafutilia mbali huu ujinga.Ifutwe hii dhambi kubwa
Tangulia mkuu tunakujaTuliamshe tu hakuna namna
Hela ya kwetu sio mali yao dadeki napasha kwanza Mashangalimanzi ninja ninjaTangulia mkuu tunakuja
Usipokuwa mstaarabu kudai hiyo haki yako ukadai kwa ubabe hutokaa uipate,Mama akielezwa Kwa ustaarabu ataelewa.Hela ya kwetu sio mali yao dadeki napasha kwanza Mashangalimanzi ninja ninja
Kwa bongo hii utasubiri Masia watu wameliamsha TayariUsipokuwa mstaarabu kudai hiyo haki yako ukadai kwa ubabe hutokaa uipate,Mama akielezwa Kwa ustaarabu ataelewa.
Ni Vyema wastaafu wakawa na wakilishi wao bungeni ili kupigania haki za wastaafu, msiwategemee wabunge hasa wa ccm kabisa kwani ubinafsi wao tunawajua! Bora hata walipokuwepo wabunge wa upinzani walitetea sana hili.
TUCTA ni wachawi wengine ambao wanakula fedha za wafanyakazi wakati hawatetei lolote.TUCTA mmelala sana....
Sema kwa mafuta safi sana, lkn siku hiyo nilikuwa na mtindio wa ubongo nikasahau sasa pata picha afu unakutana na mwanao wa enzi huku umetapakaa mautomvu ya feneMkuu mbona hata mimi nakula sana fenesi barabarani...ila huwa napaka mafuta ya kula mikononi kwanza!
.TUCTA ni wachawi wengine ambao wanakula fedha za wafanyakazi wakati hawatetei lolote.