johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia ametembelea ofisi za kampuni inayojenga bwawa la Nyerere iitwayo Arab Cintractors nchini Misri.
Rais Samia pia amekutana na wawekezaji mbalimbali wa nchi hiyo.
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Arab Contractors kumbe ni kampuni kubwa sana inayiongoza barani Afrika katika mambo ya Umeme.
Chanzo: ITV habari
My take: Nape Nnauye anapata majawabu ya hoja yake taratibu!
Rais Samia pia amekutana na wawekezaji mbalimbali wa nchi hiyo.
Waziri wa mambo ya nje mh Mulamula amesema Arab Contractors kumbe ni kampuni kubwa sana inayiongoza barani Afrika katika mambo ya Umeme.
Chanzo: ITV habari
My take: Nape Nnauye anapata majawabu ya hoja yake taratibu!