Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Wapeleke mahakamani kama walikula vyako au kama walikupumulia kisogoniMkuu, ongea huku unaweka kumbukumbu sawa juu ya akina Makonda, Sabaya, Kingai, Mahita Jr, Ramadhan, majaji wenye maelekezo maalum pamoja na mabaradhuli wengine walio watesi wa wapenda mabadiliko ya kweli hapa nchini.