Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Chalamila anapokea habari za kutenguliwa akiwa ametokea kwenye ulabu kama alivyopokea siku Magufuli alipofariki.

Mke: Mume wangu umetenguliwa
Chalamila: Aaah mke wangu au ni wewe umepewa talaka? Nieleze vizuri.
 
Chalamila anapokea habari za kutenguliwa akiwa ametokea kwenye ulabu kama alivyopokea siku Magufuli alipofariki.

Mke: Mume wangu umetenguliwa
Chalamila: Aaah mke wangu au ni wewe umepewa talaka? Nieleze vizuri.
Umbea wa kishoga peleka salon.
 
Chalamila alizuia Debe letu la Ulanzi wakati 'tunamuaga' Mwendazake pale Mbeya Karma imefanya kazi yake😁
 
Nimetonywa na watu wakubwa mkoani mwanza,kumbe amesababisha mgogoro mkubwa mkoani,kwani ule kamati nzima ya ulinzi na usalama,mkoani hakuna maaelewano na wamegombana sana
 
Nasikia ni mwalimu wa chuo kikuu. Arudi kushika chaki ukizingatia bado kijana.
 
Hapo kaongea vitu vya maana Sana kwenye ishu za mabango, labda kama alikua hayo mabango yangemgusa mtangulizi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…