Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Wakati mwingine inakuwa rahisi sana kumvizia kiongozi ambaye tayari ana shutumiwa, akiondolewa madai dhidi yake lazima yataibuka hata kama anaweza kuwa ameondolewa kwa sababu nyingine tofauti na zile alizokuwa akishutumiwa nazo, binafsi sijui sababu ya Chalamila kuondolewa, na hakuna ajuae coz hatujaambiwa na mamlaka ya uteuzi.
 
Si ajabu na huko anakokwenda nako akahamishwa akiwa bado akijitambulisha.
 
Aliowaombea watimiziwe ombi la tatu nao wamemwombea aliwe kichwa.
 
Katika Wateuliwa wa4 Wa Leo, Waislam Ni wa3, Mkiristo Ni Mmoja Tu, Rc Wa Mwanza... Twende Tu Tutafika Wakuu
 
Mama pole na majukumu. Nakushauri unapofanya mabadiliko tafuta mtu sahihi kabisa achukue nafasi ya aliyechemsha. Tupunguze ghalama ya uhamisho usio lazima wa watu ili tuepuke ghalama zisizo za lazima. Batlida angeenda Mwanza na DAS Simanjiro angekuwa RAS halafu ungenichukua mtu kama mimi msomi niliyeko kijiweni ukanipa u-DAS Simanjiro.
 
Jamaa Kachongewa Na Pm Jana Kwenye Kikao Huko Mwanza
 

Habari wana JF.
Naomba kujuzwa hivi huyu Batilda Salha Buriani siye yule aliyewahi kuwa waziri na baadaye Balozi wa Tanzania nchini Kenya kipindi cha Serikali ya JK?

Ahsante
 
Kweli Mama awafikirie wasomi walioko vijiweni awape teuzi. Hahahhhaa ila hapo neno ghalama sio hivyo bwashee... Ni Gharama
 
Terrible,Terrible,Terrible..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…