Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Chalamila atenguliwa

Yaan unahitaji kujua nini wakai kila kitu kipo wazi.
Okay hebu fikiria kuwa mama Aliwahi kusema tena BUNGENI kuwa TRA watafute namna ya kukusanya kodi na sio kuwanyanyasa wafanyabiasha kwa utulivu. Alafu Mkuu wa mkoa aliemteuwa yeye anasema Wakatamizwe hauoni hapo hawapo njia moja.

Kingine mama wakati anawaapisha RAC na DC alisema kuwa anataka wakafanye kazi wasiingiliane kwenye majukumu hivyo pia akasema kuwa Wakuu wa mokoa akatoa mfano wa Mwanza tena alisema kuwa kuna BOMU je unategemea nini.

La mwisho alisema hataki kuona watu wanashika mabango ambayo watendaji wakwe wanaweza kutatua kero za hao wananchi alisema Rais. Juzi Chalamila anasema watu wabebe mabango hata kama ni matusi je wewe unazani huyu jamaa alizani yupo na Mwendazake.

Unajua walizoea kuropoka walipokuwa kwa Mwendazake sasa mama sio hivyo. Bora kamtumbua maana hata Mbeya alisumbua sana.
 
Utasemaje yuko sahihi wakati hajatoa sababu za kutengua uteuzi?

Amandla...
 
Tuliwaambia hilo jambo mapema wakatupuuza
 
Ukiachana na Kero ya Kutuongezea Kodi Kwenye Line Za Simu, Kusema Ukweli Mama Anaupiga Mwingi Sana
 
Haingii akilini alijua kabisa Samia hataki mabango bado yeye akasisitiza watu waje na mabango.yani ndio tuseme chalamila yani ameamua kukaidi kwa makusudi.lol
'll be the last one kuamini hii,hii ni movie za kisiasa kama zilivyi movie zingine za kisiasa
 
Sio watanzania??! Simnasemaga waislamu hawana elimu ndio maana hawateuliwi wengi katika serikali?? Halafu Rais siku zote haangalii dini katika kuteua mtu, Cha Kwanza anaangalia elimu yake ,na je hana record ya jinai, na Ni raia
Tena wengine ni viongozi toka enzi za Mkapa!
 
Aliowaombea watimiziwe ombi la tatu nao wamemwombea aliwe kichwa.
Yaani Mkuu wa Mkoa anakuwa yeye ndiyo hakimu wa kuamua nani aishi na nani auwawe??

Utasema hakuna Mahakama?? Inashangaza hata huo uRC alipewa kwa vigezo vipi🙆🙆
 
Sasa anapelekwa ambako watu hawarembi! Hawana maneno mingi! AKAMAKINIKE! Mara sio Tabora!!!
Huko Tabora wanaroga hatari
Naona Hapi huenda kafurahi kutolewa
Mzee wa fyekelea mbali alikuwa mlokole kapambana sana nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…