imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Akashike Chaki aandike Mabango ya ubaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akashike Chaki aandike Mabango ya ubaoni
Pumbavu kabisa.. lilitaka wananchi wampokee mh kwa mabango ya matusi.... Hebu fikiria maza akutane na lile tusi linalopendwa sana na Ile pro jamaa... Eti wewe..xxxx !Hahahaaa, eti Maza Hausi.
Labda alikaidi kulipa kodi ya pango kwa wakati, na Maza Hausi hataki kukwamishwa mambo yake na huyo mpangaji
Mama alisema hataki kuona mabango kwenye ziara zake chalamila yeye kabla mama hajaenda mwanza kaita wananchi kawaambia mabango ni ruksa hata kama ya matusi .kumbuka mama hivi soon ataenda mwanza kukutana na vijanaChalamila atenguliwa
Ni Mlevi na alimpiga risasi kibaka akaua.Chalamila atenguliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Mama kaondoka na kichwa, asubuhi ataamka atashangaa mbona Viete haliji wakati mda wa ofisi tayari?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Chalamila asubuhi hii kakodi bajaji kwenda kazini Dereva kaenda mchukua boss mwingine[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Kumbe waliwekwa kwenye rada tayari! Hapo alikuwa anasubiriwa atakayeanza kujichanganya tu. Mama anamahesabu ya mbali sana, yaani anakutimua mwenyewe unaona kabisa hapa nimezingua. Tena unatumbuliwa usiku wa manane bado upo ndotoni. Saluti sana mama
Ni swala la muda tu.Bado Ali happy na yule Dc wa Arusha mjini
"mdomo uliponza kichwa" na "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Lkn pia tunajifunza kuwa "samaki mkunje angali mbichi...".Eti mabango ya KUMTUSI mama RUKHSA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa hawanaga stahiki. Ni kama wasichana wa kazi.
Una roho ngumu sana mwana.Samia ni Magufuli.
Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc
Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Alikuwa anafundisha wapi before?Taarifa njema hii!
Arudi zake chuo kuendelea na kazi yake ya kufundisha.