Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hii?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
Samaleko!
Hahaaa!!teuzi zetu huwa ni SANDAKALAWE!!hatuna vigezo bora hata kwenye michezo hutumia hata pot,majina yanatoka humo!!hapa hata kwenye MSULI,MFUKO WA SHATI,jina linanyofolewa humo tu.Huyu Bw Sekiete alitoka Nzega DC hadi Mwanza CC!
Sijui alifanya maajabu gani hapo Nzega hadi akapelekwa jijini.
Hii kitaalamu inaitwa,"Mbeleko ya chuma".Huyu Bw Sekiete alitoka Nzega DC hadi Mwanza CC!
Sijui alifanya maajabu gani hapo Nzega hadi akapelekwa jijini.
Afikishwe mahakamani tena! Labda kama alikula peke yake.Kama tuhuma ni za kweli, inabidi sasa afikishwe mahakamani.
Huyo hela anayo ya kutosha,Ntu wa dili balaa!Aje mtaani tuwe madalali
Sasa mbona haisemi kesho asubuhi akaripoti ofisi gani! Kwahiyo atakaa nyumbani akisikiliza chaneli na stesheni zote za vyombo vya habari kama atatajwa kwenye nafasi nyingine.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
hizi mambo za kuteuliwa, ni ngumu sana, si ukute mtu aliacha kazi yake akatii uteuzi, anatenguliwa halafu anaishije sasa? ndo maana wengine wanakataa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
kila mmoja na bahati yakeAfikishwe mahakamani tena! Labda kama alikula peke yake.
Kwani wale wa kuongeza cha juu kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo, wamefikishwa mahakamani?
Hata ramadhan haijaisha
Pole yake
Sasa Mtumbuaji hajaharibu swaumu kweli??Hata ramadhan haijaisha
Pole yake
Yaani ni maajabuHuyu Bw Sekiete alitoka Nzega DC hadi Mwanza CC!
Sijui alifanya maajabu gani hapo Nzega hadi akapelekwa jijini.
Nchi inaendeshwa kwa sheria zake utumishi na katiba na sio kwa sheria za Ramadhani au futari!Na ramadhani hii yote ya kumi la msamaha kwa ALLAH kweli swaumu za hao waliomtengua zitashihi kweli........
Maajabu makubwa, aliyemuingiza Chaka kahamishwa wizara, yuko Utumishi wa Umma na utawala Bora.Ndio huyo alikuwa anabishana na mkuu wake wa mkoa
Kwenye mambo ya viwanja mtapiga Hela, pale isamilo alileta mzozo kwa kuuza viwanja hovyohovyo, pia luchelele, vinatangazwa wakati vimeshauzwaAje mtaani tuwe madalali
Kamati za ulinzi na Usalama zona fitna sana, wanaweza kukuandalia kundi la watu, na waandishi, wakalia weee, kesho huna kazi,Hapana ni kile kilio cha kumlilia Magufuli jana wale wanawake
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app