Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swaumu ni wakati wa kutenda haki, kama ametenda haki ameimarisha swaumu yakeSasa Mtumbuaji hajaharibu swaumu kweli??
DED wa Arusha mbona hatenguliwi na Kuna Ufisadi Kila siku unaripotiwa na Gambo?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
Pesa za Umma zirudishwe,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
Cheo cha umma ni dhamana. Kabla yake alikuwepo mwingine na anayekuja ataondoka na atakuja mwingine. Muhimu ukiaminiwa na mamlaka ya juu ya nchi au ukifanya kazi kwa nafasi yoyote ya umma lazima uwe mwadilifu na mzalendo kwa taifa lako.# Usiwe na tumbo lisilokinahi na bahari ya uchu🙏🙏🙏hizi mambo za kuteuliwa, ni ngumu sana, si ukute mtu aliacha kazi yake akatii uteuzi, anatenguliwa halafu anaishije sasa? ndo maana wengine wanakataa.
siyo viwanja?Ripoti ya CAG
Waliokula hela ya uviko!
Kuna Wakurugenzi zaidi ya 100 Watatumbuliwa soonsiyo viwanja?
Mkuu, tatizo kubwa tulilonalo hapa kwetu TZ ni kwamba akija mtawala mwingine anamrudisha tena madarakani. Wasomi wapo wengi sana, mtu akitenguliwa ama akionja assli ya uhuru na akitenguliwa, asiajiriwe tena Serikalini. Hii itasaidia sana, watumishi wa Umaa kuwa makini katika utendaji wao wa kazi.Uzuri wa mama huwa hakurupuki....ila akijiridhisha tu ujue umekwisha..........
Kumbukeni katoa maelekezo kwa watendaji wote waisome ripoti ya CAG 2021/2022
nafasi za kisiasa ukitenguliwa ndio basi labda kama ulikua na kazi serikalini unarudi kwenye kazi yako ila kama ni kada ulikua jobless basi tena na mshahara unayayuka unakua kama kina hally heppy unarudi kulimaMSIDHANI AKITENGULIWA NDO HALI MSHAHARA. HAPO MSHAHARA UPO KAMA KAWA
Mkuu, hapo yupo kazini; swaumu haihusiami na masuala ya kazi.Sasa Mtumbuaji hajaharibu swaumu kweli??
Mkuu utoke wapi? Ndio basi tena.MSIDHANI AKITENGULIWA NDO HALI MSHAHARA. HAPO MSHAHARA UPO KAMA KAWA
Labda kala bila kunawa ukizingatia ni kipindi cha mfungokafanya nini? johnthebaptist
lakini je nauyo anayemtengeua nayeye hana madhaifu katika utendaji wake wa kazi,ama yeye kama mkuu wa nchi katiba inamlinda hagusikiMkuu, hapo yupo kazini; swaumu haihusiami na masuala ya kazi.
Ajabu ya nchi hii ipo siku utasikia amepewa tena kitengo sehemu nyengine japokuwa ameshaonekana makosa yake.Huyu Bw Sekiete alitoka Nzega DC hadi Mwanza CC!
Sijui alifanya maajabu gani hapo Nzega hadi akapelekwa jijini.
Kama alikuwa na kazi serikalini, lakini Kama anarudi kijiweni big no.MSIDHANI AKITENGULIWA NDO HALI MSHAHARA. HAPO MSHAHARA UPO KAMA KAWA
Na hapo Rais kamaliza kazi!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023.
IKUMBUKWE KUWA:
Mwanzoni mwa mwaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima 'alimshtaki' Mkurugenzi huyo kwa Wizara ya Tamisemi ambayo ndio mamlaka yake ya nidhamu, akimtuhumu kuhusika na uuzaji wa viwanja viwili vyenye thamani ya Sh1 bilioni vilivyopo mtaa wa Rwegasore jijini humo.
View attachment 2591994
Huyo siyo levo yako tena. Yeye ni bilionea, wewe ni 'dalali'.Aje mtaani tuwe madalali