Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mshenzi sana huyo mama madaraka ya kulevyaAfu vitu vingine kama Waziri hutakiwi kuhusika kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshenzi sana huyo mama madaraka ya kulevyaAfu vitu vingine kama Waziri hutakiwi kuhusika kabisa
Shenzi kabisaTena naibu wa katiba na sheria mmmbwa yule
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Alifanyaje huyu dada...?Safi hii. Mawaziri na wakuu wa kibongo wanajionaga miungu sana. Hii ng'ombe jike baada ya kuitengua ni ya kupeleka kwa pilato tu hii.
Unamfanyia mtu ukatili kisa we mbunge au waziri?
Kwa hiyo DPP atamburuza Mahakamani Boss wake wa zamani! Patamu hapo!Tena naibu wa katiba na sheria mmmbwa yule
Ila wapo mawaziri wengi wa aina hiyoMshenzi sana huyo mama madaraka ya kulevya
Unamfanisha na mbwa? Mbwa watakupeleka kortini. Mbwa wana akili kuliko huyo. Tunasubiri afikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa kosa la ubakaji. Unabakaji kosa lake ni miaka 30.Tena naibu wa katiba na sheria mmmbwa yule
Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac pyschopth angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWIAt last! Kwa hili nakupongeza Samia ingawa mengi unayapotezea. Hongera Rais Samia! Bado Makonda johnthebaptist
Kama ni kweli hizo tuhuma adhibiwe kama wengine!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
NI kweli huyu la kwake limeenda viral ndio maana bimkubwa limemfikiaIla wapo mawaziri wengi wa aina hiyo
Nafikiri rais hawezi kukurupuka amfute kazi bila kuujua undaniKama ni kweli hizo tuhuma adhibiwe kama wengine!