Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado anakubutua tu yule mtu?Safi, Hapa namkubali Samia, Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac psychopath angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Nakuunga mkono ASILIMIA 100%Tuna rais makini sana ,mungu ambariki,hawa viongozi wabadilike hatuko enzi za ubabe ,napenda sana utawala wa sheria,mama anazingatia sana rule of law,abarikiwe
Naomba utambulisho wako kwanza kama hutojali. Hivi wewe ni lishangingi /lishankupe nani pale Lumumba? Mpaka ulimshauri!!Nilimshauri Gekul ajiuzulu akadharau. Ajipange kwasababu atapelekewa moto hadi aone siasa chungu.
Chaaaap kwa haraka sanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Hawa Walifika Bei Sasa Usaliti Wao Unawalipa TaratibuDuh
Hawa Manaibu Waziri kutoka Chadema Wana vituko sana 😂
Alianza Waitara sasa Gekui
Bado Watatu
Hawa Walifika Bei Sasa Usaliti Wao Unawalipa TaratibuDuh
Hawa Manaibu Waziri kutoka Chadema Wana vituko sana 😂
Alianza Waitara sasa Gekui
Bado Watatu
Huyo huyoSi ndo anadaiwa kumpiga mtu na kumwambia akalie chupa si ndo huyu
Safi, Hapa namkubali Samia, Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac psychopath angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Kuna mmoja wa mambo ya ulaya nae alimtesa house boy kisa kapoteza mbwa wale walamba uchi, akawapa kazi wajeda wampe kisago, kuna kiklipu ila acha yapite tuh,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Aisee......hahahahaKuna mmoja wa mambo ya ulaya nae alimtesa house boy kisa kapoteza mbwa wale walamba uchi, akawapa kazi wajeda wampe kisago, kuna kiklipu ila acha yapite tuh,
Uganda sijui bongo
Na Polisi walioshiriki kuficha uovu tunasuniri tangazo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Mbona sijamtaja Magufuli?Na wewe acha upumbavu! Magufuli ufanye hayo akuache kwa lipi? Mnapenda sana umbeya!
Wewe mpuuzi tu! Unadhani Rais anapaswa kupangiwa cha kufanya? Sasa maamuzi ya Samia unataka kulinganisha na wengine!Mbona sijamtaja Magufuli?
Nikweli mkuu ipo klipu fulani,sema Acha yapiteAisee......hahahaha