Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini useme Kigogo wakati ni raia wengj tu wamechukizwa na kitendo chake??Kigogo kamsagia kunguni hadi ametolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini useme Kigogo wakati ni raia wengj tu wamechukizwa na kitendo chake??Kigogo kamsagia kunguni hadi ametolewa.
Hapa umetupa jiwe gizani kwa matagaSafi, Hapa namkubali Samia, Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac psychopath angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Usaliti ni laanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
Zaidi soma,
Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili Mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
Duh
Hawa Manaibu Waziri kutoka Chadema Wana vituko sana [emoji23]
Alianza Waitara sasa Gekui
Bado Watatu
Akili zake zote ziko huko kwa huyo mjinga. Au umesahau wabongo tulivyo fuata mkumbo?Kwa nini useme Kigogo wakati ni raia wengj tu wamechukizwa na kitendo chake??
Nenda na wewe ukakalie chupa kama imekuuma huyu boss wako kutenguliwaNilifikiri angeanza kuwasimamisha wale wahujumu uchumi waliotajwa kwenye ripoti ya CAG, nk. Kabla ya kuanza na huyu aliyeshutumiwa. Maana bado ukweli halisi haujajulikana!
Au alikuwa anamvutia kasi ili nafasi yake ichukuliwe na mwingine?
That man was a saddist..... sijui alihisi anamkomoa nani.Safi, Hapa namkubali Samia, Ingekuwa kipindi cha yule egomaniac psychopath angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Nilimshauri Gekul ajiuzulu akadharau. Ajipange kwasababu atapelekewa moto hadi aone siasa chungu.
Mmmh, too low kwako, kigogo anasagia wengi mbona hawatolewi?Kigogo kamsagia kunguni hadi ametolewa.
Unaonaje nikuletee hapo ulipo ili na wewe uikalie kama unapenda? Bado zimebaki chupa za kutosha.Nenda na wewe ukakalie chupa kama imekuuma huyu boss wako kutenguliwa