Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mawakili wapambanie haki ya huyo kijana alipwe stahiki zake za kudhalilishwa na akishindwa kulipia tutachangia apate haki yake
Inauma sana watu kama hawa kuwa na ukatili huu tena kiongozi upande wa sheria
Afunguliwe mashtaka na apate hukumu yake
Inauma sana watu kama hawa kuwa na ukatili huu tena kiongozi upande wa sheria
Afunguliwe mashtaka na apate hukumu yake