RPC ajipime...Mimi naona RPC angejiongeza kabla ya kupewa ki memo
La sivyo na yeye ataliwa kichwa kwa kusubiri Rais afanye yake tu
Gwajima anaweza kukaa kimya kwa sababu tayari Rais katimua ila tusubiri watasemaje kwa hili
Ila ni aibu kubwa kuwa na watu wakatili namna hii kwenye uongozi ingawa nao ni binadamu lakini kuna nafasi huwezi hata kuwaza mambo kama hayo
Aliwaza nini kutoa adhabu ya chupa au ni mmoja wa watesaji wa zamani?
Kapwaya sanaRPC ajipime...
Ushamba tu wa madaraka huyu uwaziri alipoupata ukampagawishaAfu vitu vingine kama Waziri hutakiwi kuhusika kabisa
Pale msimamizi wa sheria anapovunja sheria kuna haja ya kuwa na sheria na msimamizi wa sheria?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
Jitu katili la roho za watuIngekuwa kipindi cha yule egomaniac pyschopth angempndisha cheo na kumfanya waziri kamili, huku akijivunia kuwa SIPANGIWI
Kwa matendo waliyofanya Makonda na Sabaya ni zaidi ya hili je hampo nao huko mtaani?[emoji419][emoji375]Mimi naomba niwe tofauti kidogo.
Kwanza sijafurahishwa na kilichotokea natoa pole kwa kijana.
Pili sina imani na mahakama, kutenguliwa imetumika kupoza upepo tu at the end of the day kama atapelekwa mahakamani " it will be a walk in the park"
Sina imani na mahakama za Tanzania hata kidogo achilia mbali polisi maana hapo ingekuwa mpinzani hapo nyumba ingekuwa ishazingirwa na kulazwa mahabusu, ila huyu katolewa kofia tu ya unaibu waziri.
Kwa matendo waliyofanya Makonda na Sabaya ni zaidi ya hili je hampo nao huko mtaani?
Wakongo wanasema Ngai Te!( mimi hapana! )
je la Kigwangwala kiwandani kwake?Wapo wanaofanya unyama kupita huyu Gekul....pamoja na wananchi kulalamika na ushahidi juu bado wanadunda kwenye nafasi zao....anajua mwenyewe moyoni mwake anatumia kigezo gani kutengua....binafsi naona ni maigizo tu ya kujipatia umaarufu kizembezembe...asafishe kote kunakonuka
Mkuu and vice versa is true, ngoma bado haijafika mahakamani. Mtuhumiwa ametake political responsibility ambayo sio ushahidi kuwa ni kweli. Muda ni mwalimu!Mawakili wapambanie haki ya huyo kijana alipwe stahiki zake za kudhalilishwa na akishindwa kulipia tutachangia apate haki yake
Inauma sana watu kama hawa kuwa na ukatili huu tena kiongozi upande wa sheria
Afunguliwe mashtaka na apate hukumu yake
πππMama ana legitimize character assassination za kisiasa kwenye mwamvuli wa accountability. Haya mambo huwa hayaishii hapo, yana tabia ya kukurudia hadi wewe uliefanya legitimization ikigundulika vinginevyo. Kinachoonekana hapo ni watu wanatengeneza faida za kisiasa na kukusanya mitaji ya kisiasa wakiwaza 2025. Hili sio geni maana hata mama alishawahi kuliongelea. Critical thinking lakini inatukumbusha kwamba kama Gekul katenguliwa ili awajibike basi kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya husika pia zisiachwe. Ukiamua kucheza na nguruwe kwenye tope basi usiogope tena kuchafuka.
Mkuu tulia, mnyeti na ushahidi wote wa uhalifu alimfanya nini? Makonda na uvamizi wa clouds TV alimfanya nini? Je, hao wawili alicheka nao???Acha ushabiki maandazi,Magufuli alikuwa hacheki na Wapuuzi!
Mkuu umeuliza swali muhimu sana, tusibiri mahakama tuone itafikia uamuzi gani.Lakini je ni kweli huyo aliyekuwa Naibu Waziri alifanya kitendo hicho kikamilifu kama anavyoeleza mhanga?
Mkuu bado ni tuhuma tu, usihukumu, mamlaka pekee ya kuhukumu ni mahakama!Pale msimamizi wa sheria anapovunja sheria kuna haja ya kuwa na sheria na msimamizi wa sheria?
Angalia jina lako halafu uone kama una sifa ya kuitwa Baba! Ungekuwa mwanaume kama mimi, usingejiita jina la kike la MamaSamia2025! Wewe utakuwa ni lishangingi tu la wakubwa hapo Lumumba.Mimi ni baba yako wa kambo. Muulize mama yako atakupa habari zangu. Kuwa na adabu kwa hawara wa mama yako.
Kuna kijamaa kilivamia media house moja hapa town kuamrisha cha kutangaza lakini aliachwaNa wewe acha upumbavu! Magufuli ufanye hayo akuache kwa lipi? Mnapenda sana umbeya!