Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Mods, badili kichwa cha habari

Huu sio unyanyasaji

Unyanyasaji ni kula mezani wakati msichana wa kazi anakula kwenye mkeka jikoni kwa vile yeye sio level yenu

Hili ni shambulio la kikatili na udhalilishaji kinyume na maumbile

Assault and battery, defilement and molestation
 
Mimi naona RPC angejiongeza kabla ya kupewa ki memo
La sivyo na yeye ataliwa kichwa kwa kusubiri Rais afanye yake tu
Gwajima anaweza kukaa kimya kwa sababu tayari Rais katimua ila tusubiri watasemaje kwa hili

Ila ni aibu kubwa kuwa na watu wakatili namna hii kwenye uongozi ingawa nao ni binadamu lakini kuna nafasi huwezi hata kuwaza mambo kama hayo
Aliwaza nini kutoa adhabu ya chupa au ni mmoja wa watesaji wa zamani?
RPC ajipime...
 
Mimi naomba niwe tofauti kidogo.

Kwanza sijafurahishwa na kilichotokea natoa pole kwa kijana.

Pili sina imani na mahakama, kutenguliwa imetumika kupoza upepo tu at the end of the day kama atapelekwa mahakamani " it will be a walk in the park"

Sina imani na mahakama za Tanzania hata kidogo achilia mbali polisi maana hapo ingekuwa mpinzani hapo nyumba ingekuwa ishazingirwa na kulazwa mahabusu, ila huyu katolewa kofia tu ya unaibu waziri.

Kwa matendo waliyofanya Makonda na Sabaya ni zaidi ya hili je hampo nao huko mtaani?

Wakongo wanasema Ngai Te!( mimi hapana! )
Kwa matendo waliyofanya Makonda na Sabaya ni zaidi ya hili je hampo nao huko mtaani?[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanaofanya unyama kupita huyu Gekul....pamoja na wananchi kulalamika na ushahidi juu bado wanadunda kwenye nafasi zao....anajua mwenyewe moyoni mwake anatumia kigezo gani kutengua....binafsi naona ni maigizo tu ya kujipatia umaarufu kizembezembe...asafishe kote kunakonuka
je la Kigwangwala kiwandani kwake?
 
Mawakili wapambanie haki ya huyo kijana alipwe stahiki zake za kudhalilishwa na akishindwa kulipia tutachangia apate haki yake
Inauma sana watu kama hawa kuwa na ukatili huu tena kiongozi upande wa sheria
Afunguliwe mashtaka na apate hukumu yake
Mkuu and vice versa is true, ngoma bado haijafika mahakamani. Mtuhumiwa ametake political responsibility ambayo sio ushahidi kuwa ni kweli. Muda ni mwalimu!
 
Mama ana legitimize character assassination za kisiasa kwenye mwamvuli wa accountability. Haya mambo huwa hayaishii hapo, yana tabia ya kukurudia hadi wewe uliefanya legitimization ikigundulika vinginevyo. Kinachoonekana hapo ni watu wanatengeneza faida za kisiasa na kukusanya mitaji ya kisiasa wakiwaza 2025. Hili sio geni maana hata mama alishawahi kuliongelea. Critical thinking lakini inatukumbusha kwamba kama Gekul katenguliwa ili awajibike basi kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya husika pia zisiachwe. Ukiamua kucheza na nguruwe kwenye tope basi usiogope tena kuchafuka.
👍👌👏
 
Mimi ni baba yako wa kambo. Muulize mama yako atakupa habari zangu. Kuwa na adabu kwa hawara wa mama yako.
Angalia jina lako halafu uone kama una sifa ya kuitwa Baba! Ungekuwa mwanaume kama mimi, usingejiita jina la kike la MamaSamia2025! Wewe utakuwa ni lishangingi tu la wakubwa hapo Lumumba.

Mimi naitwa Tate Mkuu! Unafahamu maana yake kwa Kisambaa? Baba Mkubwa! Sasa wewe MamaSamia2025 huoni unatuchanganyia madesa hapa! Kubaliana tu na hiyo jinsia yako, ili maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom