Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Kwamba huyo Pauline aliamuru kijana awekewe chupa matakoni? Kwamba huyo Gekul nae ni muumini wa ufiraji na ukatili, yaani katika adhabu zote akaona hiyo ndio inafaa kijana kupewa? Iwe tuhuma au kweli, hatakiwi kuwa waziri na hapa ndipo katiba inatakiwa kuangaliwa tena, hafai hata huo ubunge. Nasema iwe tuhuma au iwe imethibitika.
Na anasali KKKT hapo sasa tuone kama watamtimua maana washarika wengine wakivurunda matukio ya aibu huwa wanafukuzwa, je huyu??
 
Idadavue Kwa undàni mkuu, nani Tena huko.Je ni Kassim, Salima, Hamida, Amandus, Kuchauka, Nape, au wale wa Kilwa?
1.https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-nawahusisha-mkuu-wa-wilaya-na-ocd-lindi-kwenye-kifo-cha-mtoto-wangu.2161434/?amp=1

2.https://www.jamiiforums.com/threads/mh-rais-mkuu-wa-wilaya-na-ocd-lindi-wamemuua-angel-kessy-mwanafunzi-wa-pcb.2159397/page-4
 
Huyo Waziri angeshauriwa ajiuzulu kwa maslahi ya chama na serikali.

Kitendo cha kutenguliwa kinatengeneza mfano mbaya kwa watendaji wa serikali.

Tutashuhudia clip nyingi sana za maovu ya viongozi kwa wananchi, na wasipotenguliwa ndio shughuli itaanzia hapo.
...angejiuzuru angebaki na kaheshima kidogo..sasa.ndio.basi.yena asahau !
 
...angejiuzuru angebaki na kaheshima kidogo..sasa.ndio.basi.yena asahau !
Kama an akili asisubiri Fedheha nyingine ya Kuvuliwa uanachama bora ajivue yeye mwenyewe ili mahakama na Bunge liamua kuvunja ubunge wake..
Vinginevyo Ni aibu kuvuliwa uanachama na kunyang'anywa vyote
 
Nadhani hapa ndipo majukumu ya Waziri wetu Mh Dkt. Gwajima D yanaingia, atusaidie ni jinsi gani wizara yake wanashughulika na case kama hii inayomuhusu kiongozi wa Umma na haswa mwenye ngazi ya Juu kama Waziri, na hapo ndipo tutafahamu kama kuna double standards katika kushughulikia masuala ya ukatili au sheria zinahusu watu wote bila kujali status ya mtu, matukio kama haya hayakuanza leo lakini mara nyingi sheria zimeonekana kuwalinda wakubwa haswa wenye vyeo au pesa.
Akikujibu nitag mkuu
 
Back
Top Bottom