Pasco njaa kali mzee wa gundu atafikiriwa tuuu.Mbona teuzi za siku hizi ni za usiku usiku na pia mbona pasco hafikiwi
Moja kwa moja kutokea....😍😍iyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Dkt. Mwakaje ji Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Aidha, Rais Samia amemteua George Daniel Yambesi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kwa kipindi cha pili.
View attachment 2769855
Baba yako alikuwa mmoja wa NEC ya Mkapa au Kikwete?Mama anikumbuke na mimi jamani.
Simu hizi DOHA ni ikulu Ndogo ya Tanzania ,? Mmmh 🤣🤣🤣 maaan nimeiona hapoiyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Dkt. Mwakaje ji Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Aidha, Rais Samia amemteua George Daniel Yambesi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kwa kipindi cha pili.
View attachment 2769855
iyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Dkt. Mwakaje ji Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Aidha, Rais Samia amemteua George Daniel Yambesi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kwa kipindi cha pili.
Nilisema mimiMama Wanu kila siku anateua. Kabla ya Ijumaa atafanya tena uteuzi
Kama anacheza draft vileMama Wanu kila siku anateua. Kabla ya Ijumaa atafanya tena uteuzi
Nadhan bado ana negotiate uuzwaji wa bandari yetu huko ujombani kwaoNimeona hapo DOHA
Pascal anatokea kanda gani? Fuatilia hizi teuzi utagundua kitu, ni za ukanda maalumMbona teuzi za siku hizi ni za usiku usiku na pia mbona pasco hafikiwi
Pia mheshimiwa rais amewataka wananchi wengine wote kuendelea na majukumu yao kila mmoja kwa nafasi yake ndani ya Jamii, huku akiwataka wale wajishulishao na uharifu kuacha mara moja.iyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Dkt. Mwakaje ji Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Aidha, Rais Samia amemteua George Daniel Yambesi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) kwa kipindi cha pili.