Rais Samia ateua Mtendaji Mkuu TANROADS na Naibu Makatibu Wakuu

Rais Samia ateua Mtendaji Mkuu TANROADS na Naibu Makatibu Wakuu

Mkurugenzi wa TANROADS anapaswa awe mchakarikaji, mativila apipooza sana.


tunamuomba Mkurugenzi mpya wa TANROADS aweke taa za barabarani kuanzia Kimara mwisho hadi kibaha. njia 8.

Lakini barabara ya kulipa inayo kusudiwa kujengwa kuanzia Kibaha hadi Chalinze tunaomba ianzie mbezi mwisho.
 
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANROAD nakuomba uiangalie barabara ya mbezi Mpiji na Mbezi Makabe, Msakuzi na Msumi. Pia pita mbezi Makabe uone mkandarasi anayejenga barabara utaugua kichwa kwa USANII UNAOFANYIKA , tangu mwaka jana mwezi wa sita hadi leo ni mita zisizofika 500 anahangaika nazo na ni hovyoo UTAFIKIRI NI WATOTO WANAJIFUNZA KUUMBA MAUMBO.

BINAFSI NIMEFURAHI KUBADILISHWA KWA MTENDAJI WA TANROAD. MWINGINE NINAYEOMBA MUNGU ABADILISHWE NI WAZIRI MBARAWA
 
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANROAD nakuomba uiangalie barabara ya mbezi Mpiji na Mbezi Makabe, Msakuzi na Msumi. Pia pita mbezi Makabe uone mkandarasi anayejenga barabara utaugua kichwa kwa USANII UNAOFANYIKA , tangu mwaka jana mwezi wa sita hadi leo ni mita zisizofika 500 anahangaika nazo na ni hovyoo UTAFIKIRI NI WATOTO WANAJIFUNZA KUUMBA MAUMBO.

BINAFSI NIMEFURAHI KUBADILISHWA KWA MTENDAJI WA TANROAD. MWINGINE NINAYEOMBA MUNGU ABADILISHWE NI WAZIRI MBARAWA

Huyo MBARAWA ndio Kaamua Kumuweka mwenzake “wapige kazi “ ……unampa Mzanzibar jukumu la barabara za Tanganyika ……

Unaweza kupandishwa cheo kumbe umeshushwa cheo …
 
Kwa tunaoifahamu TANROADS hapo mamalaka ya uteuzi imevurunda.
Always, kama jeshi, mkuu wa TANROADS lazima atoke from within.
Kuna a big cycle of learning hapo.
Tusubiri madudu.
Mbarawa and co! mnaendelea na madudu.

Alikuwa hamtaki huyu jamaaa kwa kuwa alikuwa hapitishi mambo yake …..watu wanajua alikuwa anatafuta mtu wake …..
Kuna pesa zimechukuliwa tanroad kwenda kujenga barabara Pemba kimya kimya ….
 
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANROAD nakuomba uiangalie barabara ya mbezi Mpiji na Mbezi Makabe, Msakuzi na Msumi. Pia pita mbezi Makabe uone mkandarasi anayejenga barabara utaugua kichwa kwa USANII UNAOFANYIKA , tangu mwaka jana mwezi wa sita hadi leo ni mita zisizofika 500 anahangaika nazo na ni hovyoo UTAFIKIRI NI WATOTO WANAJIFUNZA KUUMBA MAUMBO.

BINAFSI NIMEFURAHI KUBADILISHWA KWA MTENDAJI WA TANROAD. MWINGINE NINAYEOMBA MUNGU ABADILISHWE NI WAZIRI MBARAWA
Uliza kwanza kama wamelipwa usijitundike hvyo.
Kuna miradi haina pesa, halafu jiulize kuna kibao hapo?
 
Mkurugenzi wa TANROADS anapaswa awe mchakarikaji, mativila apipooza sana.


tunamuomba Mkurugenzi mpya wa TANROADS aweke taa za barabarani kuanzia Kimara mwisho hadi kibaha. njia 8.

Lakini barabara ya kulipa inayo kusudiwa kujengwa kuanzia Kibaha hadi Chalinze tunaomba ianzie mbezi mwisho.
Mama yupo Mwanza nadhani kaona pia mradi wa kusimika taa Barabara ya kuelekea Airport,zoezi linaenda polepole sana.Taa zimetoka Airport mpaka maeneo ya Pasiansi,Iloganzala.Kuanzia hapo kwenda mjini kati ni kiza tupu!
 
Huyo MBARAWA ndio Kaamua Kumuweka mwenzake “wapige kazi “ ……unampa Mzanzibar jukumu la barabara za Tanganyika ……

Unaweza kupandishwa cheo kumbe umeshushwa cheo …
Hiyo kazi ampe Naibu Waziri Engineer Kasekenya,lile jembe linaijua nchi na linafuatilia kazi vizuri sana.
 
Kwa tunaoifahamu TANROADS hapo mamalaka ya uteuzi imevurunda.
Always, kama jeshi, mkuu wa TANROADS lazima atoke from within.
Kuna a big cycle of learning hapo.
Tusubiri madudu.
Mbarawa and co! mnaendelea na madudu.
Ajabu sana naendelea kushangaa CEO wa Tanroads anatoka vipi nje ya taasisi yenyewe tena muhandisi wa mambo ya anga ndio akaendeshe taasisi ya inayohusiana na mambo ya barabara na miundombinu yake
 
Ajabu sana naendelea kushangaa CEO wa Tanroads anatoka vipi nje ya taasisi yenyewe tena muhandisi wa mambo ya anga ndio akaendeshe taasisi ya inayohusiana na mambo ya barabara na miundombinu yake
Hiyo hata kwangu haijakaa sawa kabisa yani.
 
Kwa tunaoifahamu TANROADS hapo mamalaka ya uteuzi imevurunda.
Always, kama jeshi, mkuu wa TANROADS lazima atoke from within.
Kuna a big cycle of learning hapo.
Tusubiri madudu.
Mbarawa and co! mnaendelea na madudu.

labda anataka kuvunja circle.
 
Uliza kwanza kama wamelipwa usijitundike hvyo.
Kuna miradi haina pesa, halafu jiulize kuna kibao hapo?
Ni kweli hakuna kibao, ndio maana nikasema ni USANII tu. Pia unasema nijiulize kama mkandarasi amelipwa. Nimeshuhudia wakandarasi wengi wanapewa kandarasi na wanapiga mzigo karibia na robo ndio wanapewa hela LAKINI KWA HUYU INAONYESHA DHAHIRI HANA SIFA ZA KUWA MKANDARASI. Yaani hata mimi kwa kipato changu ningepewa hiyo kandarasi ningefanya vizuri kuliko hivyo. KINACHOFANYIKA BARABARA ILE NI MARA KUMI WAACHE TU ILI BARABARA ITENGENEZWE NA CONSTRUCTION COMPANY YA MAANA. HATA MIAKA IJAYO, KULIKO HIKI KITUKO KINACHOFANYIKA SASA
 
Back
Top Bottom