Rais Samia ateua Mtendaji Mkuu TANROADS na Naibu Makatibu Wakuu

Rais Samia ateua Mtendaji Mkuu TANROADS na Naibu Makatibu Wakuu

Ni kweli hakuna kibao, ndio maana nikasema ni USANII tu. Pia unasema nijiulize kama mkandarasi amelipwa. Nimeshuhudia wakandarasi wengi wanapewa kandarasi na wanapiga mzigo karibia na robo ndio wanapewa hela LAKINI KWA HUYU INAONYESHA DHAHIRI HANA SIFA ZA KUWA MKANDARASI. Yaani hata mimi kwa kipato changu ningepewa hiyo kandarasi ningefanya vizuri kuliko hivyo. KINACHOFANYIKA BARABARA ILE NI MARA KUMI WAACHE TU ILI BARABARA ITENGENEZWE NA CONSTRUCTION COMPANY YA MAANA. HATA MIAKA IJAYO, KULIKO HIKI KITUKO KINACHOFANYIKA SASA
Sasa kwa nini usiichukue kabisa hiyo kazi uifanye mwenyewe.
 
Mhandisi Mohamed Besta kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barbara Tanzania (TANROADS).

Eng Mohamed Besta EAC CASSOA - Director Technical

Eng Mohamed Besta EAC CASSOA - Director Technical


Profile :
Mr. Mohamed Besta is a seasoned expert specializing in aerodromes and ground aids (AGA), having served as Chief Aerodromes and Ground Aids Inspector with Tanzania Civil Aviation Authority TCAA for more than ten years.

Besta currently serves with East Africa Community Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency (CASSOA) as Director – Technical holding responsibility to coordinate programmes and activities of the Agency relating to aviation safety and security.

Mr Besta holds Bachelors of Science (Civil Engineering) from University of Dar es Salaam - Tanzania, and Master of Arts (Economic Development) from the Open University of Tanzania (OUT) and is a Registered Consulting Engineer with Engineers Registration Board - ERB of the United Republic of Tanzania and Member of the Institute of Engineers of Tanzania - IET.

Mr Mohamed Besta possesses renowned knowledge and experience in design and maintenance of airport pavements.
 
6 March 2023
Entebbe, Uganda

EALA YAHOJI WAFANYAKAZI KUTIMKA TOKA CASSOA

Wajumbe wa baraza la Bunge la Afrika Mashariki EALA wauliza kwanini wataalamu wabobezi wanaondoka EAC CASSOA Taasisi ya Jumuiya ya Afrika mashariki iliyopewa jukumu nyeti la Usalama wa Anga na Usalama wa Miundombinu ya Anga, na kukimbilia mashirika mengine ya kimataifa ? Maswali hayo mazito yalitolewa mbele ya kikao wakati wajumbe wa EALA walipotembelea makao makuu ya CASSOA yaliyopo Entebbe, Uganda.

video courtesy of NTV Uganda

CASSOA was established as an institution of the EAC in 2007 to provide a common framework and mechanism for the Partner States to fulfil their international safety and security oversight obligations.

CASSOA’s main objectives can be summarised as to ensure co-ordinated development of the civil aviation safety and security oversight infrastructure in the Partner States through effective implementation of the international safety and security-related standards and recommended practices
READ MORE - Source : CASSOA | Civil Aviation Safety and Security Oversight Agency
 
Tunakubali rais ndio kiongoz wa nchi, lakini nadhani sasa inapaswa hizi nafasi za teuzi zilizopo mikononi mwa Rais zipungue.

Panga pangua ya safu zake ni kila wkt, hawapi nafasi ya watendaji kufanya kazi ikaonekana.

Katiba ingempa nafasi kadhaa za muhimu kiusalama na kisera lakini hizi nafsi zingine zinhebaki za kuajiriwa kwa mikataba.
 
Inafikirisha sana kwanini asichukuliwe mtu kutoka ndani ya taasisi anachukuliwa kutoka nje ukizingatia upana wa taasisi yenyewe na uhitaji wa mtu mwenye kuijua kiundani na CEO Tanroads ndie mtendaji mkuu haijakaa sawa kabisa hii.

..Mohamed Besta ni Mtanganyika.

..alikuwa wizara ya Ujenzi na baadae Tanroads miaka ya 90.

..baadae akahamia Tcaa, halafu akarudi tena wizarani mpaka mwaka jana alipopata kazi EAC.
 
..Mohamed Besta ni Mtanganyika.

..alikuwa wizara ya Ujenzi na baadae Tanroads miaka ya 90.

..baadae akahamia Tcaa, halafu akarudi tena wizarani mpaka mwaka jana alipopata kazi EA
..Mohamed Besta ni Mtanganyika.

..alikuwa wizara ya Ujenzi na baadae Tanroads miaka ya 90.

..baadae akahamia Tcaa, halafu akarudi tena wizarani mpaka mwaka jana alipopata kazi EAC.
Nashukuru kwa taarifa lakini miaka ya 90 Tanroads haikuwepo kulikuwa na idara ya Ujenzi imekuja kuanzishwa mwaka 2000 lakini nilichokuwa namaanisha ni kwamba ni rahisi zaidi kufanya kazi/kutengeneza timu yenye ufanisi kwenye taasisi, kampuni ikiwa kiongozi atatoka ndani ya taasisi husika ukizingatia kazi za Tanroads. Tofauti na mtu ambae alishafanya kazi hizo awali na kuhamia idara tofauti kwa muda flani yaweza mchukua muda kuimudu nafasi hiyo na itamchukua muda pia kuweza kujifunza vitu ambavyo hakuwa akivifanyia kazi kabla ya uteuzi wake.
 
Back
Top Bottom