Rais Samia athibitisha uhusiano wake na Waziri Mchengerwa

Dua la kuku halimpati mwewe.
 
Alikosa muda wa kujibu Kero za Mwananchi kwamba aongee na Wabunge / Wawakilishi ila ana muda wa hizi Porojo ?
 
Hii picha ni kabla hajawa rais au ni baada?
Maana haiwezekani mbunge/waziri kuvaa tai nyekundu mbele ya rais! Ni kinyume na protocol
 
Pmj na kuwa na uhusiano ila mchengerwa Ni waziri makini Sana na boraa Basi tu wakina nape wakiwa ndio washkaji zake atapotea ila mchengerwa Ni waziri Bora Sana na mchapakazi
 
Charity begin at home ,wangapi wanatoa fursa Kwa ndugu na jamaa wa karibu wakiwa katika nafasi Fulani ? Mmesahau mambo ya mtoto wa dada kuwa kwenye chungu HAZINA ?
 
Ni haki yake kupita kusalimia wajukuu

Na mtoto hasa wa kike huwezi mpangia aolewe na nani hata ujifanye mzazi jeuri vipi atajioza atazaa juu kwa juu meza Wembe kama wewe mzazi jeuri

Mtoto kaamua kuolewa na Mrufiji mama Hana cha kufanya hata kama yeye Raisi angeweza muoza kwa wapemba wenye mapesa hatari .Lakini ndio hivyo uamuzi wa mtoto Wa kike atafanyaje

Kazi yake sasa Zaidi ni ya kuhakikisha tu wajukuu.wanaishi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…