Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Aisee!Leo katika ziara yake Mkoani Mbeya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kauli kuhusu kupanda kwa bei ya Mafuta nchini.
Bora kuwachana watu live kuliko kukaa kimya wanakuja na majibu yao.Leo katika ziara yake Mkoani Mbeya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kauli kuhusu kupanda kwa bei ya Mafuta nchini.
Huyu mama nchi ishamshinda,Aisee!
Sijui ni wapi huko mafuta hayanunuliki.
Mafuta hayanunuliki wapi? 😂Bora kuwachana watu live kuliko kukaa kimya wanakuja na majibu yao.
Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda huko Bei ni zaidi ya 4000 za Tanzania.Mafuta hayanunuliki wapi? 😂
kama kapungua hivi
Zambia,Rwanda,Burundi,Uganda huko Bei ni zaidi ya 4000 za Tanzania.
Hata ukiletewa utabisha maana hatujaanza leo kuzileta hizo figures,ingia google utazikuta.Tuleetee Figure acha Maneno matupu.
Wasomi wa sasa mko weupe sana
Bado waswahili hawataamini kauli ya mkuu wa Nchi. Wataendelea na ubishi. Tumpe muda Mama achape kaziLeo katika ziara yake Mkoani Mbeya Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kauli kuhusu kupanda kwa bei ya Mafuta nchini.
Mzee unafaidika nn kukomalia uongo? Uganda na Congo wana sababu ya kuuza izo bei, hawana bandari.Hata ukiletewa utabisha maana hatujaanza leo kuzileta hizo figures,ingia google utazikuta.
Zambia diesel ⛽ ni 27 ZWK, SASA KAMA WEWE UNAAMINI NA KUONA KUWA 27=4000,Iam sorry nitakuita wewe ni zuzuHata ukiletewa utabisha maana hatujaanza leo kuzileta hizo figures,ingia google utazikuta.
Lesotho 🇱🇸 Lita ya diesel ni 33.lesotho loti, sasas wewe kama unaina 33=3500, wewe ni zuzuHata ukiletewa utabisha maana hatujaanza leo kuzileta hizo figures,ingia google utazikuta.