Rais Samia atoa kauli kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini

Rais Samia atoa kauli kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini

Bilioni 100 zinaingizwa kwenye mafuta kila mwezi bado maisha ni magumu hivi?
 
Hata ukiletewa utabisha maana hatujaanza leo kuzileta hizo figures,ingia google utazikuta.
Dr Congo ni Tshs 2,908,Kenya Tshs 2978,Burundi Tshs 3700,Zambia Tshs 3,700,South Africa 3,700,Uganda Tshs 3705,Rwanda Tshs 3,303..... (zote hizi ni bila RUZUKU)na hazina bandari.

Ukiweka ruzuku kwetu Tz ni Petrol ni Tshs 3,700,na hapo tuna bandari,tofauti na nchi nyingi nilizozitaja.

Mama anapigwa anakubali hata hajiongezi,hao ewura hela yao hupata in terms of %,lazima wamuingize chaka mama.soma hii link,tena weka in terms of tshs

 
..kauli toka kwa Mkuu wa nchi ilitakiwa KUSHUSHA bei ya mafuta, sio kuiacha kama ilivyo, au kuipandisha.
 
Huyu mama nchi ishamshinda,
Wenzetu kenya petrol 2900 diesel 2600 sjui huyu mama anataka tuende tukanunue kenya au anataka nini.
Ulinunua Kenya unakamatwa Mpakani, waulize Dala Dala za Mbeya Karibu na mpaka wa Zambia kipindi Fulani ulikuwa tafulani!
 
Zanzibar bei ni kiasi gani?

Hizi reasoning ni za watoto wa chekechea.

Kwa hiyo hata ikitokea nchi imeingia kwenye machafuko tufurahie tu kwa kuwa kuna nchi kibao ziko huko.

Shule,Zahanati anajenga za nini sasa ilhali kuna nchi nyingi tu zenye idadi ndogo kuliko sisi.
 
Zanzibar bei ni kiasi gani?

Hizi reasoning ni za watoto wa chekechea.

Kwa hiyo hata ikitokea nchi imeingia kwenye machafuko tufurahie tu kwa kuwa kuna nchi kibao ziko huko.

Shule,Zahanati anajenga za nini sasa ilhali kuna nchi nyingi tu zenye idadi ndogo kuliko sisi.
Zanzibar ni 2934 huku Tanganyika mijanaume na ndevu zao wamekalia mama anaupiga mwingi,mama anahujumiwa tumekua na wanaume wa ajabu sana.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom