Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mama Samia ana nia ya kuendeleza 4Rs, pia anapenda utani. Naamini yanayoendelea kwenye utekaji na kwingine kukiuka sheria yanafanywa na watu wanaotaka kumchafua ili achukiwe na Watanzania.
Umesema kweli. Hao watu wanataka tu kumchafua kwa sababu wamewekwa kwenye vyeo vyao na shetani. Na Samia ana akili kama za mtoto mdogo ndiyo maana hawezi kulijua hili.
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

You don't belong to the zoo MUFASA Dizasta Vina
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Ahamie CCM amuone wizara aiendeshe
 
Chukua maneno yangu, ni suala la muda tu, LISSU atahama CHADEMA, kwa aibu atashindwa kuhamia CCM, ila ataenda ACT na kwa mara ya kwanza ACT itapata zaidi ya vitano vya ubunge JMT kwenye uchaguzi ujao 2025
Hata na mm hii dalili nimeshaiona muda sana, kunaviherehere vingi sana kwa lisu, wala wamemchagia pesa ccm, muda ndo utaongea ngoja tukae kimya.
 
Sasa ndugu yangu kwa umri huo hujui CCM, Chadema na vyama vya upinzani ni sawa na mtu na wajukuu zake?

Siasa zetu za Tanzania ni za upendo siyo za uadui! Ndiyo maana unaweza mwona Mbowe kakaza misuli leo na kesho anacheka Ikulu au yuko na KM Nchimbi.

Huu ndio upekee wa Tanzania. Mhe. Rais kaonyesha upekee huo tuupokee positively. 🙏🙏🙏
Na kweli ni upekee wa siasa za Tanzania mpaka wakosoaji wanatekwa, wanateswa na kupotezwa!!!

Kweli ni upekee.
 
Ana maana nzuri Tu Simba ni ishara kubwa chanya Afrika yeye anajua contribution ya Tundu Lissu nchi hii,IPO siku hii nchi itakuja kumkumbuka huyu mama na hakuna Raisi amewahi sifika nchi hii hua anaonekana baadae SASA yeye atakuja kukumbukwa zaidi
Kipindi january makamba raisi au mtoto pendwa Bashite.
 
Asiyemkubali Tundu Lisu ni mjinga!

NB: Kuna umuhimu gani wa maonesho ya Simba kufanyika Kizimkazi?
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.📌🔨💪🏿
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.📌🔨💪🏿
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Lissu kiboko! Anawewesesha watu
 
Watu huwa wagumu kuelewa huyu mama anamkubali lissu toka zamani na historia ya huyu mama na lissu ni kubwa,hutokaa ukute lissu anamtukana huyu mama yy anaiponda ccm kiufupi hawa watu wanaheshimiana.
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Safi 👏🏻👏🏻👏🏻
 
Ningekoment sema mwanasheria wangu yuko maternity
 
Kwani Rais haruhusiwi kutania ama
Simba anajulikana uwezo wake ila yule alikuwa na hasira anavyozunguka zunguka ndani
Ndio Rais akauliza amekula?
 
Lissu fungua kesi. Matumizi mabaya ya jina la mtu. Humiliation defamation.

Tusijifariji na hili. Mnatolewa kwenye reli.

Kule kupigwa na kuwekwa kizuizini kule Mbeya mnangoja nini kufungua kesi. Mtaishia kuongea na vyombo vya habari kila siku then what?

Unafungua kesi mbele ya Jaji aliyewekwa na huyo unayemshitaki ?? Kesi ya nyani .........
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

Lucas Mwashambwa sema neno...
 
Kwa wanasheriahatuna dogo,lazima tupate tafsri ya kusheria kuhusu pendekezo hilo
 
Napenda umoja na upendo wa kitaifa. Tujadili masuala ya nchi tukiwa Watanzania tunaotaka nchi ikimbie. Kama hilo ni kosa langu nisamehe.
Nadhani hukuelewa maana yangu.
Nakwambia hivi: CCM ndio wanao imba hizo nyimbo za amani kila mahali; huku wakitumia ujinga huo huo kuwapumbaza akili waTanzania kama wewe. Matendo ya CCM siyo matendo ya amani hata kidogo. Sasa kama bado huelewi, itabidi nichukue muda wa kukuelewesha uhuni wa CCM kwa waTanzania.
CCM sasa hivi hawapendi amani, kwa sababu wanajuwa kukiwa na amani wataondolewa madarakani.
 
Back
Top Bottom