Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
chadema walitaka madaraja na miradi mikubwa majina ya viongozi wao yawekwe haya zawadi hiyo apo kutoka kwa mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu 'Lusungo', usifikiri sikubaliani na wewe kuhusu ku-'panic' kwake na wenzake wote huko ndani ya CCM; hilo liko wazi muda mrefu sana.Huyo mama kwa akili yake hana ujanja wowote yupo kwenye panic mode.... njia zao za kumnasa Lissu zimekwama. Ukiangalia hyo Video kwa uharaka aliotumia kutamka hilo jina amini nakuambia kwenye akili yake huyo Lissu kajaa kwa 90%
Mama Abdul katika ubora wake 😆😆👇👇Mama Abdul
Bimkubwa ameamua kuwahamisha kutoka Ngorongoro Hadi Tundu kuitwa Simba 😆😆Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
TanganyikaWametoka mbinguni
Afanye mambo yakejina zuri kwa Lissu ili mradi Awadhi asikasilike na kumkamata Simba Tundu Lissu na kumpiga!
Unatanua magoli sio....kule Ngorongoro kashatupa kitaulo!Bimkubwa ameamua kuwahamisha kutoka Ngorongoro Hadi Tundu kuitwa Simba 😆😆
Prof wa saisa za Tanzania 👇👇View attachment 3078128View attachment 3078129View attachment 3078130
Tanzania 🇹🇿 ! 🙏Hao simbo huko kizimkazi wametoka wapi?
Kwa mnyama ni tafsiri tofauti kidogo, ambayo ni kupewa matunzo/ kuzingatiwa. Uhuru kwa mnyama ni fursa tu ya kupata mahitaji yake.Kafungiwa ,hayupo huru......
Ina maana KUBWA Sana, niliwahi kusema hivyo kuwa Samia atauachia uraisi😂😀😀
Maana yake TAL ndiye mrithi
Kwahiyo hoja yako inasimama kwenye msingi gani!? Au ulitaka na samia nae awe chui dume!?Kuhusu kuhama au kubaki hilo sio shida wala hoja yangu... hoja ni Samia ambaye ni Chui jike leo katuambia Lissu ni Simba dume.
Inawezekana ati !Bora tu isiwe TL na yeye anafuata uelekeo wa Msigwa na Peneza.
Kabisa mkuu, mwanasiasa hata akikuambia kumekucha ni bora ufungue dirisha kuthibitisha kama kweli kumekucha. Chochote kinaweza kutokea kwa mwanasiasa.Inawezekana ati !
Siasa sio uadui !
Siasa haina Adui wa kudumu wala Rafiki wa kudumu !! 🙏😅
Mama anamkubali sana Tundu Lissu. Ingekuwa haogopi kuuliwa na maCCM, angehamia CHADEMA.Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Ndo maana wapo wa kufugwa na wa kua uhuru mwituniKwa mnyama ni tafsiri tofauti kidogo, ambayo ni kupewa matunzo/ kuzingatiwa. Uhuru kwa mnyama ni fursa tu ya kupata mahitaji yake.
Ova