Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni ukatili mkubwa kuwafungia simba na chui katika vyumba vidogo hivyo. Huyo simba hayuko sawa. Hawezi kuwa sawa akiwa kafungiwa kwenye kaboksi na watu kibao wana mkodolea macho. Sio vizuri kabisa.

Amandla...
 
Kumwita hilo jina ni kwasababu Lissu ana uwezo mkubwa ila kafungiwa kwenye kibanda na Mbowe kama huyo Simba.
 
Back
Top Bottom