Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo Tundu nae mnafiki tu ye si ndio alikuwaga anasagia kunguni Magu
 
Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan anamkubali sana Tundu Lissu ni vile tu anashindwa namna ya kumuingilia maana uwezo binafsi wa Lissu ni zaidi ya baraza lake lote la Mawaziri..
Mimi bado nasikitishwa sana na hawa viongozi wetu.
Kuwa na "mtu na nusu" kama Tundu Lissu kwenye Taifa lenu halafu hamumtumii "kitaifa/kinchi", ni matumizi mabovu sana ya rasilimali watu.
Mimi naamini kabisa Rais Samia anamjua Lissu vyema uwezo wake na anamu appreciate sana, sasa kutokumtumia kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi ndicho nisichoelewa kabisa.
 
Walishapanga na kukubaliana
Kama hawakukubaliana basi Jumatatu utasikia moto umewaka mahakamani
Hivi kumuita binadamu mwenzio kwa jina la mnyama yoyote kama punda mbwa fisi nk bila yeye kuridhia ni kosa?
 
Hivi kumuita binadamu mwenzio kwa jina la mnyama yoyote kama punda mbwa fisi nk bila yeye kuridhia ni kosa?
Wapo akina Nyoka, Nguruwe, Mbawala, ...imezoeleka kuchukua jina la mnyama kwakuwa wanyama wote wanashare, shida inakuja umegawa jina la mtu kwa mnyama bila ridhaa yake, mtu mwenyewe ni mwanasheria, tena mwanasheria machachari, lazima azue mtiti, utamsikia reaction yake
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

View attachment 3077983
Kuna vitu nashindwa kabisa kuvielewa kuhusiana na hiyo nchi, yaani hayo maelezo kuhusiana na tabia za Wanyama wanajua huyo mtu wanayempatia ni nani? Wanajua kwamba huyo wanayempatia jayo maelezo ndiye sterling wa filam maarufu iliyoandaliwa kwa ajili ya kuvitangaza vivution vya kitalii Tanzania wakiwemo hao wanyama?
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.

View attachment 3077983
Tundu Lissu anatisha sna kama anakuwa sio upande wako. Ana msimamo na akili nyingi
 
Huyo Simba ana bahati mbaya sana maana kitakachofuata ni Risasi.
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
 
Back
Top Bottom