residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huyu kashaitwa chawa,ndio uwezo wake unaomfaa kuwa chawa.Unatamani wewe ndio ungeitwa hata Simbilisi tu au Panya ungefurahia sana 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kashaitwa chawa,ndio uwezo wake unaomfaa kuwa chawa.Unatamani wewe ndio ungeitwa hata Simbilisi tu au Panya ungefurahia sana 😂😂😂
Mambo ni mengi😂😀😀
Maana yake TAL ndiye mrithi
Mimi bado nasikitishwa sana na hawa viongozi wetu.Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan anamkubali sana Tundu Lissu ni vile tu anashindwa namna ya kumuingilia maana uwezo binafsi wa Lissu ni zaidi ya baraza lake lote la Mawaziri..
Hivi kumuita binadamu mwenzio kwa jina la mnyama yoyote kama punda mbwa fisi nk bila yeye kuridhia ni kosa?Walishapanga na kukubaliana
Kama hawakukubaliana basi Jumatatu utasikia moto umewaka mahakamani
Ukuu una tabia ya kuacha historia, ukuu wa wakati fulani unaweza ukawa sio ukuu kwa wakati mwingine.Mama yenu amekiri ukuu wa Lissu.
Wapo akina Nyoka, Nguruwe, Mbawala, ...imezoeleka kuchukua jina la mnyama kwakuwa wanyama wote wanashare, shida inakuja umegawa jina la mtu kwa mnyama bila ridhaa yake, mtu mwenyewe ni mwanasheria, tena mwanasheria machachari, lazima azue mtiti, utamsikia reaction yakeHivi kumuita binadamu mwenzio kwa jina la mnyama yoyote kama punda mbwa fisi nk bila yeye kuridhia ni kosa?
Kuna vitu nashindwa kabisa kuvielewa kuhusiana na hiyo nchi, yaani hayo maelezo kuhusiana na tabia za Wanyama wanajua huyo mtu wanayempatia ni nani? Wanajua kwamba huyo wanayempatia jayo maelezo ndiye sterling wa filam maarufu iliyoandaliwa kwa ajili ya kuvitangaza vivution vya kitalii Tanzania wakiwemo hao wanyama?Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
View attachment 3077983
Tundu Lissu anatisha sna kama anakuwa sio upande wako. Ana msimamo na akili nyingiAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
View attachment 3077983
Amlipe mafao yake,sio jina lake ampe nyamaume!Simba wa TANGANYIKA,ama kweli Dr Samia ametuonesha hanabaya na TLisu
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Mbona alishapigwa?!Huyo Simba ana bahati mbaya sana maana kitakachofuata ni Risasi.
🤣🤣😜Tatizo simba huyo anafugwa
Simba Dume wa Taifa.😂 Simba wa mchongo