macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Umesema kweli. Hao watu wanataka tu kumchafua kwa sababu wamewekwa kwenye vyeo vyao na shetani. Na Samia ana akili kama za mtoto mdogo ndiyo maana hawezi kulijua hili.Mama Samia ana nia ya kuendeleza 4Rs, pia anapenda utani. Naamini yanayoendelea kwenye utekaji na kwingine kukiuka sheria yanafanywa na watu wanaotaka kumchafua ili achukiwe na Watanzania.
You don't belong to the zoo MUFASA Dizasta VinaAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Kabisa Mkuu πKabisa mkuu, mwanasiasa hata akikuambia kumekucha ni bora ufungue dirisha kuthibitisha kama kweli kumekucha. Chochote kinaweza kutokea kwa mwanasiasa.
Ahamie CCM amuone wizara aiendesheAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Hata na mm hii dalili nimeshaiona muda sana, kunaviherehere vingi sana kwa lisu, wala wamemchagia pesa ccm, muda ndo utaongea ngoja tukae kimya.Chukua maneno yangu, ni suala la muda tu, LISSU atahama CHADEMA, kwa aibu atashindwa kuhamia CCM, ila ataenda ACT na kwa mara ya kwanza ACT itapata zaidi ya vitano vya ubunge JMT kwenye uchaguzi ujao 2025
Na kweli ni upekee wa siasa za Tanzania mpaka wakosoaji wanatekwa, wanateswa na kupotezwa!!!Sasa ndugu yangu kwa umri huo hujui CCM, Chadema na vyama vya upinzani ni sawa na mtu na wajukuu zake?
Siasa zetu za Tanzania ni za upendo siyo za uadui! Ndiyo maana unaweza mwona Mbowe kakaza misuli leo na kesho anacheka Ikulu au yuko na KM Nchimbi.
Huu ndio upekee wa Tanzania. Mhe. Rais kaonyesha upekee huo tuupokee positively. πππ
Kipindi january makamba raisi au mtoto pendwa Bashite.Ana maana nzuri Tu Simba ni ishara kubwa chanya Afrika yeye anajua contribution ya Tundu Lissu nchi hii,IPO siku hii nchi itakuja kumkumbuka huyu mama na hakuna Raisi amewahi sifika nchi hii hua anaonekana baadae SASA yeye atakuja kukumbukwa zaidi
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.ππ¨πͺπΏAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.ππ¨πͺπΏAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Lissu kiboko! Anawewesesha watuAkiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Safi ππ»ππ»ππ»Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Lissu fungua kesi. Matumizi mabaya ya jina la mtu. Humiliation defamation.
Tusijifariji na hili. Mnatolewa kwenye reli.
Kule kupigwa na kuwekwa kizuizini kule Mbeya mnangoja nini kufungua kesi. Mtaishia kuongea na vyombo vya habari kila siku then what?
Lucas Mwashambwa sema neno...Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!
Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.
Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.
Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.
Jionee.
Nadhani hukuelewa maana yangu.Napenda umoja na upendo wa kitaifa. Tujadili masuala ya nchi tukiwa Watanzania tunaotaka nchi ikimbie. Kama hilo ni kosa langu nisamehe.